MwaikamboN
Member
- Sep 21, 2020
- 38
- 23
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jamani tuweni WAZALENDO kumbuka gharama za ujenzi wa daraja la Nyerere zimekopwa kutoka kwenye Taasisi ya Serikali yaani NSSF kwahiyo ni WAJIBU kurudisha mkopo ukilinganisha na gharama za Vivuko ambazo Fedha yake inatoka Serikalini na bado Wananchi wanalipia ili kurudisha gharamaHivi hakuna namna serikali inaweza kufanya ili kuwapunguzia mzigo wananchi wa Kigamboni wanaolazimika kulipia daraja wavuke kwenda kwao on a daily basis?
Serikali inaweza kulipa deni hilo kwa NSSF kupitia kodi za wananchi maana madaraja mengine yamejengwa kwa kodi za wote. Yaani mlipa kodi Kigamboni amechangia ujenzi wa daraja la Mkapa na Busisi, kwanini walipakodi wa huko wasichangie la Kigamboni?
Alternatively, orodha ya wananchi wanaoishi Kigamboni wanaopita na magari ingejulikana halafu wangekuwa wanalipa kwa mwaka hata 100,000/= halafu wanaepuka usumbufu wa kulipia kila siku.
Kazi iendelee