Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,276
- 17,983
Lisemwalo lipo.
Serikali ina mpango wa kuanza kuwatoza wanaongezewa damu. Kwanza, kwenye hospital binafsi na baadaye, hata zile za serikali.
Watanzania hujitolea bure damu ili kuwanusuru watanzania wenzao.
Hili la kuanza kutoza linaleta ukakasi mwingi sana.
Kitachobaki ni kulipia Oxygen,tutaambiwa ni ya serikali.
Serikali ina mpango wa kuanza kuwatoza wanaongezewa damu. Kwanza, kwenye hospital binafsi na baadaye, hata zile za serikali.
Watanzania hujitolea bure damu ili kuwanusuru watanzania wenzao.
Hili la kuanza kutoza linaleta ukakasi mwingi sana.
Kitachobaki ni kulipia Oxygen,tutaambiwa ni ya serikali.