Kwahiyo hizo hospitali anazosifiwa kajenga kumbe zimejengwa na waziri wa afya, na sio yeye, ama?! Na hizi electronic payment zinazojadiliwa hapa ni kazi ya waziri wa fedha? Na ile SGR imejengwa na waziri wa miundombinu, si ndo unachomaanisha?! Na kwa maana nyingine, hata zile ndege ni work-done by waziri wa uchukuzi?barabara nyingi kazikuta vipi wakati alikuwa waziri wa ujenzi kabl ya urais