Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
1 . Mwl. Julius Nyerere daily alitembea na kifimbo mkononi!.
2 . Jomo Kenyatta daily alitembea na usinga mkononi !.
3 . Keneath Kaunda daily alitembea na Kitambaa cheupe mkononi !.
4 . Arap Moi daily akiwa na kijirungu kilichonakshiwa shanga za kimasai!.
5 . Sesseseko Mobutu daily alitembea na kofia kichwani iliyonakshiwa urembo wa Chui ilikua ni kofia yenye muundo alioubuni ye mwenyewe kiasi mtu yyt alikua kofia ya muundo ule, husemwa kavaa kofia ya Mobuttu.
Wadau wenza wale tuliokuwepo wkt huo tupeane uelewa mbona mi nahisi nyuma ya vitu hivyo palikua na nguvu za giza?
Naomba kutoa hoja.
2 . Jomo Kenyatta daily alitembea na usinga mkononi !.
3 . Keneath Kaunda daily alitembea na Kitambaa cheupe mkononi !.
4 . Arap Moi daily akiwa na kijirungu kilichonakshiwa shanga za kimasai!.
5 . Sesseseko Mobutu daily alitembea na kofia kichwani iliyonakshiwa urembo wa Chui ilikua ni kofia yenye muundo alioubuni ye mwenyewe kiasi mtu yyt alikua kofia ya muundo ule, husemwa kavaa kofia ya Mobuttu.
Wadau wenza wale tuliokuwepo wkt huo tupeane uelewa mbona mi nahisi nyuma ya vitu hivyo palikua na nguvu za giza?
Naomba kutoa hoja.