Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,239
- 9,527
Kwasababu leo ni kilele cha siku ya mapinduzi na mimi kama kijana wa bara nayetamaani kujua mambo, basi naomba kuwauliza; hivi kulikuwa na sababu ya msingi ya mapinduzi ya Zanzibar au ni uzalendo tu wa rangi nyeusi?
Maswali yanaendelea; hivi mzanzibari ni mtu mweusi wa visiwa vya unguja na pemba au ni mtu yeyote mwenye mizizi ya uzawa unguja na pemba bila kujali rangi yake?
Tena niulize hivi sisi wa bara, maadhimisho ya mapinduzi Zanzibar yanatuhusu nini?
Halafu Muungano ulikuwa wa serikali ya Tanganyika na serikali ya mapinduzi Zanzibar au watu wa Tanganyika na watu weusi wa Zanzibar au watu wa Tanganyika na watu wa Zanzibar bila kujali rangi zao?
Naapa naahidi, mbele ya Mungu, mapinduzi nitakulinda mpaka kufa! Haya mapinduzi bado yako hatarini? Dhidi ya nani? Maadui wa nje ya Zanzibar au wazanzibari wenye asili ya kiarabu?
Maswali ninayo mengi ila navyoona, muungano wa Tanzania ulikuwa kwaajili ya kulinda serikali ya mapinduzi...ni muungano wenye vinasaba vya kibaguzi maana unawabagua wazanzibari kwa rangi zao.
Herini ya siku ya mapinduzi.
Ahlan tabu..
Maswali yanaendelea; hivi mzanzibari ni mtu mweusi wa visiwa vya unguja na pemba au ni mtu yeyote mwenye mizizi ya uzawa unguja na pemba bila kujali rangi yake?
Tena niulize hivi sisi wa bara, maadhimisho ya mapinduzi Zanzibar yanatuhusu nini?
Halafu Muungano ulikuwa wa serikali ya Tanganyika na serikali ya mapinduzi Zanzibar au watu wa Tanganyika na watu weusi wa Zanzibar au watu wa Tanganyika na watu wa Zanzibar bila kujali rangi zao?
Naapa naahidi, mbele ya Mungu, mapinduzi nitakulinda mpaka kufa! Haya mapinduzi bado yako hatarini? Dhidi ya nani? Maadui wa nje ya Zanzibar au wazanzibari wenye asili ya kiarabu?
Maswali ninayo mengi ila navyoona, muungano wa Tanzania ulikuwa kwaajili ya kulinda serikali ya mapinduzi...ni muungano wenye vinasaba vya kibaguzi maana unawabagua wazanzibari kwa rangi zao.
Herini ya siku ya mapinduzi.
Ahlan tabu..