Chief Editor
JF-Expert Member
- Feb 18, 2019
- 780
- 2,261
Hii ID yako ya infantry soldier haiakisi uelewa wako wa masuala ya kivita.
Yaani kitendo tu cha wajerumani kuondoka na fuvu lake hakikushitui. Kwao ni MTU aliyewatesa mno katika mapambano ya msituni.
Eti mtu anayejiua ni dhaifu. Mbona Hitler alijiua kwa kujitumbukiza kwenye acid.
Hata Gaddafi kwa taarifa yako alitaka kujimaliza na bastola yake dhahabu kabla hajawahiwa. Katazame video ya mauaji ya Gaddafi.
Alafu Mkwawa hakujiua kwa sababu ya hofu pekee ila ni kanuni ya kivita unapozidiwa na hakutaka kuwakatisha tamaa wanajeshi wake kwa sababu ikiwa wangemuua yeye kama kiongozi ingekuwa rahisi kuwamaliza wengine.
Alaf unafananishaje mazingira ya kifo cha mkwawa na cha Gaddafi, ikiwa mkwawa alipambana na bunduki kwa mishale kwa asilimia kubwa na tena akipambana na mojawapo ya mataifa makubwa yenye jeshi kubwa na teknojia ya kisasa huku yeye akiwa hata sio taiga bali empire iliyo ndani ya taifa, huku akiwa na teknolojia duni.
Yaani kitendo tu cha wajerumani kuondoka na fuvu lake hakikushitui. Kwao ni MTU aliyewatesa mno katika mapambano ya msituni.
Eti mtu anayejiua ni dhaifu. Mbona Hitler alijiua kwa kujitumbukiza kwenye acid.
Hata Gaddafi kwa taarifa yako alitaka kujimaliza na bastola yake dhahabu kabla hajawahiwa. Katazame video ya mauaji ya Gaddafi.
Alafu Mkwawa hakujiua kwa sababu ya hofu pekee ila ni kanuni ya kivita unapozidiwa na hakutaka kuwakatisha tamaa wanajeshi wake kwa sababu ikiwa wangemuua yeye kama kiongozi ingekuwa rahisi kuwamaliza wengine.
Alaf unafananishaje mazingira ya kifo cha mkwawa na cha Gaddafi, ikiwa mkwawa alipambana na bunduki kwa mishale kwa asilimia kubwa na tena akipambana na mojawapo ya mataifa makubwa yenye jeshi kubwa na teknojia ya kisasa huku yeye akiwa hata sio taiga bali empire iliyo ndani ya taifa, huku akiwa na teknolojia duni.