zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,004
- 28,626
Jalalani mkuu but miaka imepita kidogoChuo gani hicho?
Jalalani mkuu but miaka imepita kidogoChuo gani hicho?
Hahahahha mkuu kuna watu wanatamani kusoma lakini majukumu ni makubwa mnoo.Unatafutwa na TAKUKURU...Ripoti ofisi ya TAKUKURU iliyo karibu na gheto kwako ...
Tena sio uchi wa kusimama wima bali wa kubong'oa hadharani!Aisee nchi yetu imebaki uchi tena kimataifa.
Sisiti kukuita mpumbavu! Yaani msemaji wa ofisi kuu ndani ya nchi anatoa taarifa ya uongo kama hiyo na wanao hoji unawaita wa hovyo! Jinga sana wewe! Eti wapinzani, kwa hiyo ukiwa CCM huwezi kuhoji ubwege wowote utakao toka serikalini hadi uwe mpinzani?Tuna wapinzani wa hovyo sana ,
You can imagine hizi ndio hoja wanaleta tukae kuzijadili kama Taifa.
Hujaelewa hoja , HOJA NI KWANINI KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS (IKULU)ISEME UONGO KUWA Kwaya master alihudhulia kikao na kuweka picha ya kwaya master wala iso na bendera ya africa mashariki kama wenzie na hata mama samia aliiweka ,umeelewa sasa?Kwani Makamu wa Rais anapokuwa anamuwakilisha Rais huko nje ( hasa Ulaya ) au hata katika nchi zingine hapa hapa Barani Afrika Kiitifaki huwa inatambulikaje?
Tuacheni Nongwa na tupunguze Kumsakama Rais au Taasisi yake ya Urais kwa Chuki zetu kila Uchao tu. Kiitifaki sijaona tatizo lolote lile ikisemwa ( ikitangazwa ) kuwa Rais ameshiriki Kikao hata kama aliyekihudhuria ni Makamu wake.
Hilo la Waziri Mwigulu Nchemba Kumtishia huyo Dada Maria kama ni kweli basi nadhani PhD yake haitumii vyema katika Kufikiri ( Kufikiria ) hivyo airejeshe tu huko Chuoni na aendelee kubakia na Upumbavu pamoja na Ushamba wake.
Alichotakiwa Kufanya Waziri Nchemba si Kumtishia Dada Maria ( kama ni kweli ) bali ni Kumuelekeza tu kwa Mtazamo wa Kiitifaki na Kidiplomasia juu ya hilo na wala hili Jambo lisingekuwa Kubwa hivi na la Kimjadala. Makamu wa Rais anafanya Kazi za Rais, ni Msaidizi wake na Muwakilishi wake Mkuu katika Matukio yote ya Kiitifaki hivyo akihudhuria Yeye ( Makamu ) na ikatangazwa Rais amehudhuria wala hakuna Kosa ( tatizo ) lolote hapo.
Kwani kidagaa nae kamtema?Hii kukwepa mikusanyiko ya marais wenzake inatugharimu sana Tanzania. Hakuna tena diplomasia, pia uhusiano na wenzake wa Afrika Mashariki uko chini. Hakuna rais wa Africa Mashariki anayehudhuria matukio Tanzania. Najua, mtasema twajitoshleza na hatuhitajii wengine!
Jiwe hajui kiingereza. Seneti Udsm mnyang'anyeni PhD yake. Ni aibu kwa chuo. Hamjui kuwa ameipata siyo kwa merit? Copy & paste from a German scholar's thesis!
Wale marais wenzake wanaongea English sasa Meko angeongea nini. Si ingekuwa mambo ya aibu.
Ben Saanane aliweka kila kitu wazi, yuko wapi kwa sasa?Una uhakika?.Je,ukiwekwa kati unaweza kutoa maelezo kuthibitisha kauli yako??.
Swali gumu,ikafuata "tetesi"!!!Kwanini wasaidi walidanganya sasa?
Zama hizi za utandawazi kudanganya yataka moyo.
Ni ukweli mtupu. Mkutano hauhitaji kusafiri kilichomfanya Magufuli asiongee na wenzake ni lugha tu.Wale marais wenzake wanaongea English sasa Meko angeongea nini. Si ingekuwa mambo ya aibu.