Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,754
- 7,536
Wasaidizi wa rais wanamdanganya kwa maslahi yao wenyewe. Kulikuwa hakuna haja ya kusema Magufuli ataudhuria.
Wasaidizi wanawadanganya ‘wadanganyika’ wa TZ kwa maelekezo ya mkuu wao ili kujaribu kujenga taswira chanya.
Viongozi Wanapaswa kumcha Mungu sana, na kuiogopa teknologia!