Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
Mh Mh...Baadaye iligundulika kwamba Kafulila yuko financed na watu mbalimbali, inasemekana hadi Nimrod Mkono anahusika katika kutoa mijihela ya kuimaliza NCCR
This' serious now.
Hebu kwenda deep kidogo.
Mh Mh...Baadaye iligundulika kwamba Kafulila yuko financed na watu mbalimbali, inasemekana hadi Nimrod Mkono anahusika katika kutoa mijihela ya kuimaliza NCCR
NCCR wana best lawyers kama akina Mvungi..nafikiri wana uelewa zaidi wa sheria kuliko unavyowashutumuHata mimi nimeshangaa uelewa wa hawa jamaa wa NCCR Mageuzi kuhusu hii order ya mahakama. Sheria imewatupa mkono hawa.
Vipi juu ya wale watakaojivua ubunge baada ya kuchoshwa na siasa uchwara??Kaka Yahya, asalaam,
Ni aibu kwa VIJANA kama Machali na mwenzake kutetea ubakaji wa democrasia na kuhusu suala ya kufukuzwa mbunge mwenzao KIJANA, kisa kulinda maslahi ya mwenyekiti, naona aibu kuwa KIJANA wa kitanzania mpenda democrasia ya kweli asubuhi ya leo.
Vipi juu ya wale watakaojivua ubunge baada ya kuchoshwa na siasa uchwara??Kaka Yahya, asalaam,
Ni aibu kwa VIJANA kama Machali na mwenzake kutetea ubakaji wa democrasia na kuhusu suala ya kufukuzwa mbunge mwenzao KIJANA, kisa kulinda maslahi ya mwenyekiti, naona aibu kuwa KIJANA wa kitanzania mpenda democrasia ya kweli asubuhi ya leo.
Kafulila anabebeshwa kila zigo la taka lililopo NCCR Mageuzi.Hii ni tuhuma nzito TUNAOMBA MTUPE USHAHIDI WA MAANDISHI JUU YA TUHUMA MLIZOMTUPIA KAFULILA KUWA YEYE NDO ALIMSHAWISHI MBATIA AMFUNGULIE MDEE KESI.
Of course NCCR haija-take any further action baada ya order kutolewa. Order ilikuja actions kadhaa zilishachukuliwa. Further actions zilizopo/zilizozuiliwa ni pamoja na kumvua ubunge kafulila (hilo si wajibu wa NCCR), action nyingine ni Mkutano Mkuu wa NCCR kupitia maamuzi ya Halmashauri kuu (hilo sasa NCCR haiwezi kufanya maana kuna zuio la mahakama). Kwa maana hiyo order inazuia rufaa ya Kafulila kusikilizwa ndani ya chamaHata mimi nimeshangaa uelewa wa hawa jamaa wa NCCR Mageuzi kuhusu hii order ya mahakama. Sheria imewatupa mkono hawa.
Yahya,Tunafanya taratibu kumpata Ndg.Kafulila wiki ijayo katika sehemu ya pili ya mjadala huu. Tunategemea ushiriki wenu wanaJF
Mkuu Invisible, deep yenyewe ndio hiyo, haya mambo ni mazito kuliko tunayoyaona juu juu. CCM mara nyingi kama sio zote ndio mainjinia wa migogoro ya vyama vya upinzani. Mbana Hassan, Mshirika wa Kafulila ni mzee asiyekuwa na kipato cha kumwezesha kuzunguka nchi nzima, ghafla alipata uwezo huo kwa mijihela ya Mkono. Hela ndio shina la dhambi hii ndugu yanguMh Mh...
This' serious now.
Hebu kwenda deep kidogo.
Atafutwe Dr. Mvungi, wawekwe studio moja na Mhe.Kafulila ili tujue mbivu na mbichi waziwaziYahya,
Tutakuwa pamoja panapo majaliwa. Naomba ujitahidi kupata mwanasheria mzuri anayeweza kutoa tafsiri sahihi ya order ya mahakama kuu. Machali na NCCR yake wanajikanyaga tu, hawaeleweki.
Of course NCCR haija-take any further action baada ya order kutolewa. Order ilikuja actions kadhaa zilishachukuliwa. Further actions zilizopo/zilizozuiliwa ni pamoja na kumvua ubunge kafulila (hilo si wajibu wa NCCR), action nyingine ni Mkutano Mkuu wa NCCR kupitia maamuzi ya Halmashauri kuu (hilo sasa NCCR haiwezi kufanya maana kuna zuio la mahakama). Kwa maana hiyo order inazuia rufaa ya Kafulila kusikilizwa ndani ya chama
Ni mjadala mzuri lakini ninaomba Kafulila na yeye angekuwepo ili kuweka uwiano kwasababu Mh. Machali anapomshambulia alafu yeye hayupo kujieleza ili tuweze kuelewa ukweli uliodhahiri nadhani tutakuwa hatumtendei haki Mh. Kafulila.
Mkuu Invisible, deep yenyewe ndio hiyo, haya mambo ni mazito kuliko tunayoyaona juu juu. CCM mara nyingi kama sio zote ndio mainjinia wa migogoro ya vyama vya upinzani. Mbana Hassan, Mshirika wa Kafulila ni mzee asiyekuwa na kipato cha kumwezesha kuzunguka nchi nzima, ghafla alipata uwezo huo kwa mijihela ya Mkono. Hela ndio shina la dhambi hii ndugu yangu
Vipi juu ya wale watakaojivua ubunge baada ya kuchoshwa na siasa uchwara??
Je wazee nao wamtetee mzee mwenzo akivuliwa ubunge kwa utovu wa nidhamu just because ni mzee mwenzao?
NCCR wana best lawyers kama akina Mvungi..nafikiri wana uelewa zaidi wa sheria kuliko unavyowashutumu
Tutaendelea wiki ijayo Wadau Asante kwa michango yenu wanaJF Maswali haya nimeyahifadhi mpaka wiki ijayo