utantambua
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,367
- 321
Kwa nini NCCR Mageuzi (na vyama vingi vya upinzani) mnashindwa kushikilia kanuni za party institutionalization na badala yake mnafuata kanuni za uendeshaji chama kwa kuzingatia utashi wa mtu mmoja (big man philosophy)?