Dogo anaongea kwa jazba sana...Ushauri kwa huyo Machali:
Yahya hebu mwambie huyo apunguze sauti kwani anamtolea nani mimate yake hapo au kuna ugomvi? And by the way yuko pointless sana katika mambo anayoyatoa hapo..
SWALI KWA MH MACHALI:
Kabaa ya kufukuzwa Mh Kafulila, ulinukuliwa na gazeti moja linalotoka Kila Jumatano (MwanaHalisi) Ukimtuhumu Kafulila Kwamba anataka kumpindua Mwenyekiti Mbatia. Na tayari Kafulila amevuliwa madaraka aliyokuwa nayo na Kukabidhiwa wewe (Katibu mwenezi wa Chama).
Je, hiyo sio fitna ya Kisiasa? Je, huoni pia ni kikwazo cha kukijenga chama hasa kutokana na kambi ya Kafulila kuona wewe ni moja ya chanzo cha mgogoro huo?
NAAMINI NDUGU YAHYA UTALISOMA SWALI LANGU HILI
Dogo anaongea kwa jazba sana...