Kulikuwa na faida gani ya kubadili jina la shirika letu la habari kutoka TVT (Televisheni ya Taifa) na kuitwa TBC (Tanzania Broadcasting Corporation)?

Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Kwanza ninaomba kuanza kwa kutoa shukrani zangu za dhati kwa serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya habari, vijana utamaduni na michezo pamoja na shirika la Taifa la Utangazaji (TBC) kwa kuamua kuwa Wazalendo kwa vitendo zaidi na kuamua kuboresha muonekano wa TBC.

Sasa hivi huwa nikiwa ninatazama TBC ARIDHIO ile saa moja jioni ni kama vile ninatazama CNN, BBC au Al Jazeera kwa maana camera na majukwaa ni ya kisasa, watangazaji wa kiume ni watanashati sana, hao akina dada ndio usiseme yaaani ni warembo saaaaana hususan yule dada wa kipare sijui mchagga wanamuita Elizabeth Mramba.

View attachment 1594227

I congratulate you guys once again. Huyo Elizabeth Mramba kama hajaolewa mpaka sasa ninaomba mwenye number zake anipe mara moja wakuu kwa maana sio kwa weupe ule. Hahahahahaaaa, I am joking.

Ndugu zangu watanzania eti;

Kulikuwa na umuhimu gani wa kubadili jina la shirika letu la habari kutoka TVT (Televisheni ya Taifa) na kuitwa TBC (Tanzania Broadcasting Corporation)?

View attachment 1589921

Kama suala ni structual change (shake up) kwani isingeweza kufanyika bado ikibeba jina hilo hilo pamoja na logo ya TVT?

Kulikuwa na umuhimu gani wa kubadili jina la shirika letu pendwa, muhimu na la kizalendo katika kutangaza misimamo ya taifa hili imara barani Afrika lililojaa mashujaa na wachapakazi?

Ninajua kuna watu watakuja na hoja kwamba TBC ilizaliwa baada ya kuunganisha RTD (Radio Tanzania Dar Es Salaam) na TVT.

Lakini mbona kampuni ni moja ya Microsoft lakini bidhaa ni tofauti tofauti kama vile Windows, Office, Internet Explorer, Visual Studio na Xbox.

Kwanini TBC isingebaki kama TBC lakini ndani yake kuwe na TVT pamoja na Radio Tanzania? Kwanini walibadili majina? Kulikuwa na ulazima gani kufanya hivyo?

Mbona Serengeti, Manyara na Kilimanjaro ni vivutio vya kimataifa lakini bado vinabeba majina yale yale ya zamani na wazungu hawaja-ignore?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Rais Magufuli ni Mzalendo wa kweli na mpaka sasa hana mpinzani.
 
Naamini kabisa kubadili jina kwenda TBC ni msukumo wa Commonwealth yaani Matakwa ya Beberu aliyetutawala kuona vyombo vya habari kwenye Himaya yake vinafanana;
BBC - Uingereza
SBC - Afrika Kusini
KBC - Kenya
UBC - Uganda
TBC - Tanzania.
Nk nk
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Kwanza ninaomba kuanza kwa kutoa shukrani zangu za dhati kwa serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya habari, vijana utamaduni na michezo pamoja na shirika la Taifa la Utangazaji (TBC) kwa kuamua kuwa Wazalendo kwa vitendo zaidi na kuamua kuboresha muonekano wa TBC.

Sasa hivi huwa nikiwa ninatazama TBC ARIDHIO ile saa moja jioni ni kama vile ninatazama CNN, BBC au Al Jazeera kwa maana camera na majukwaa ni ya kisasa, watangazaji wa kiume ni watanashati sana, hao akina dada ndio usiseme yaaani ni warembo saaaaana hususan yule dada wa kipare sijui mchagga wanamuita Elizabeth Mramba.

View attachment 1594227

I congratulate you guys once again. Huyo Elizabeth Mramba kama hajaolewa mpaka sasa ninaomba mwenye number zake anipe mara moja wakuu kwa maana sio kwa weupe ule. Hahahahahaaaa, I am joking.

Ndugu zangu watanzania eti;

Kulikuwa na umuhimu gani wa kubadili jina la shirika letu la habari kutoka TVT (Televisheni ya Taifa) na kuitwa TBC (Tanzania Broadcasting Corporation)?

View attachment 1589921

Kama suala ni structual change (shake up) kwani isingeweza kufanyika bado ikibeba jina hilo hilo pamoja na logo ya TVT?

Kulikuwa na umuhimu gani wa kubadili jina la shirika letu pendwa, muhimu na la kizalendo katika kutangaza misimamo ya taifa hili imara barani Afrika lililojaa mashujaa na wachapakazi?

Ninajua kuna watu watakuja na hoja kwamba TBC ilizaliwa baada ya kuunganisha RTD (Radio Tanzania Dar Es Salaam) na TVT.

Lakini mbona kampuni ni moja ya Microsoft lakini bidhaa ni tofauti tofauti kama vile Windows, Office, Internet Explorer, Visual Studio na Xbox.

Kwanini TBC isingebaki kama TBC lakini ndani yake kuwe na TVT pamoja na Radio Tanzania? Kwanini walibadili majina? Kulikuwa na ulazima gani kufanya hivyo?

Mbona Serengeti, Manyara na Kilimanjaro ni vivutio vya kimataifa lakini bado vinabeba majina yale yale ya zamani na wazungu hawaja-ignore?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Wale Mabeberu aliyokuwa anayetetea bungeni umesahau? Kama sio Rais Magufuli madini yetu yasingekuwepo.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Kwanza ninaomba kuanza kwa kutoa shukrani zangu za dhati kwa serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya habari, vijana utamaduni na michezo pamoja na shirika la Taifa la Utangazaji (TBC) kwa kuamua kuwa Wazalendo kwa vitendo zaidi na kuamua kuboresha muonekano wa TBC.

Sasa hivi huwa nikiwa ninatazama TBC ARIDHIO ile saa moja jioni ni kama vile ninatazama CNN, BBC au Al Jazeera kwa maana camera na majukwaa ni ya kisasa, watangazaji wa kiume ni watanashati sana, hao akina dada ndio usiseme yaaani ni warembo saaaaana hususan yule dada wa kipare sijui mchagga wanamuita Elizabeth Mramba.

View attachment 1594227

I congratulate you guys once again. Huyo Elizabeth Mramba kama hajaolewa mpaka sasa ninaomba mwenye number zake anipe mara moja wakuu kwa maana sio kwa weupe ule. Hahahahahaaaa, I am joking.

Ndugu zangu watanzania eti;

Kulikuwa na umuhimu gani wa kubadili jina la shirika letu la habari kutoka TVT (Televisheni ya Taifa) na kuitwa TBC (Tanzania Broadcasting Corporation)?

View attachment 1589921

Kama suala ni structual change (shake up) kwani isingeweza kufanyika bado ikibeba jina hilo hilo pamoja na logo ya TVT?

Kulikuwa na umuhimu gani wa kubadili jina la shirika letu pendwa, muhimu na la kizalendo katika kutangaza misimamo ya taifa hili imara barani Afrika lililojaa mashujaa na wachapakazi?

Ninajua kuna watu watakuja na hoja kwamba TBC ilizaliwa baada ya kuunganisha RTD (Radio Tanzania Dar Es Salaam) na TVT.

Lakini mbona kampuni ni moja ya Microsoft lakini bidhaa ni tofauti tofauti kama vile Windows, Office, Internet Explorer, Visual Studio na Xbox.

Kwanini TBC isingebaki kama TBC lakini ndani yake kuwe na TVT pamoja na Radio Tanzania? Kwanini walibadili majina? Kulikuwa na ulazima gani kufanya hivyo?

Mbona Serengeti, Manyara na Kilimanjaro ni vivutio vya kimataifa lakini bado vinabeba majina yale yale ya zamani na wazungu hawaja-ignore?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mkuu ni vile tu Rais Magufuli anatoa heshima kupita kila jimbo kusalimia Wananchi. Ila hata angekaa ofisini ushindi ni 98%.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Kwanza ninaomba kuanza kwa kutoa shukrani zangu za dhati kwa serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya habari, vijana utamaduni na michezo pamoja na shirika la Taifa la Utangazaji (TBC) kwa kuamua kuwa Wazalendo kwa vitendo zaidi na kuamua kuboresha muonekano wa TBC.

Sasa hivi huwa nikiwa ninatazama TBC ARIDHIO ile saa moja jioni ni kama vile ninatazama CNN, BBC au Al Jazeera kwa maana camera na majukwaa ni ya kisasa, watangazaji wa kiume ni watanashati sana, hao akina dada ndio usiseme yaaani ni warembo saaaaana hususan yule dada wa kipare sijui mchagga wanamuita Elizabeth Mramba.

View attachment 1594227

I congratulate you guys once again. Huyo Elizabeth Mramba kama hajaolewa mpaka sasa ninaomba mwenye number zake anipe mara moja wakuu kwa maana sio kwa weupe ule. Hahahahahaaaa, I am joking.

Ndugu zangu watanzania eti;

Kulikuwa na umuhimu gani wa kubadili jina la shirika letu la habari kutoka TVT (Televisheni ya Taifa) na kuitwa TBC (Tanzania Broadcasting Corporation)?

View attachment 1589921

Kama suala ni structual change (shake up) kwani isingeweza kufanyika bado ikibeba jina hilo hilo pamoja na logo ya TVT?

Kulikuwa na umuhimu gani wa kubadili jina la shirika letu pendwa, muhimu na la kizalendo katika kutangaza misimamo ya taifa hili imara barani Afrika lililojaa mashujaa na wachapakazi?

Ninajua kuna watu watakuja na hoja kwamba TBC ilizaliwa baada ya kuunganisha RTD (Radio Tanzania Dar Es Salaam) na TVT.

Lakini mbona kampuni ni moja ya Microsoft lakini bidhaa ni tofauti tofauti kama vile Windows, Office, Internet Explorer, Visual Studio na Xbox.

Kwanini TBC isingebaki kama TBC lakini ndani yake kuwe na TVT pamoja na Radio Tanzania? Kwanini walibadili majina? Kulikuwa na ulazima gani kufanya hivyo?

Mbona Serengeti, Manyara na Kilimanjaro ni vivutio vya kimataifa lakini bado vinabeba majina yale yale ya zamani na wazungu hawaja-ignore?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Tanzania haipo kwenye orodha ya Nchi maskini Rais Magufuli ametupeleka uchumi wa kati Naamini miaka mitano ijayo Rais Magufuli ataitupeleka uchumi wa juu.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Kwanza ninaomba kuanza kwa kutoa shukrani zangu za dhati kwa serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya habari, vijana utamaduni na michezo pamoja na shirika la Taifa la Utangazaji (TBC) kwa kuamua kuwa Wazalendo kwa vitendo zaidi na kuamua kuboresha muonekano wa TBC.

Sasa hivi huwa nikiwa ninatazama TBC ARIDHIO ile saa moja jioni ni kama vile ninatazama CNN, BBC au Al Jazeera kwa maana camera na majukwaa ni ya kisasa, watangazaji wa kiume ni watanashati sana, hao akina dada ndio usiseme yaaani ni warembo saaaaana hususan yule dada wa kipare sijui mchagga wanamuita Elizabeth Mramba.

View attachment 1594227

I congratulate you guys once again. Huyo Elizabeth Mramba kama hajaolewa mpaka sasa ninaomba mwenye number zake anipe mara moja wakuu kwa maana sio kwa weupe ule. Hahahahahaaaa, I am joking.

Ndugu zangu watanzania eti;

Kulikuwa na umuhimu gani wa kubadili jina la shirika letu la habari kutoka TVT (Televisheni ya Taifa) na kuitwa TBC (Tanzania Broadcasting Corporation)?

View attachment 1589921

Kama suala ni structual change (shake up) kwani isingeweza kufanyika bado ikibeba jina hilo hilo pamoja na logo ya TVT?

Kulikuwa na umuhimu gani wa kubadili jina la shirika letu pendwa, muhimu na la kizalendo katika kutangaza misimamo ya taifa hili imara barani Afrika lililojaa mashujaa na wachapakazi?

Ninajua kuna watu watakuja na hoja kwamba TBC ilizaliwa baada ya kuunganisha RTD (Radio Tanzania Dar Es Salaam) na TVT.

Lakini mbona kampuni ni moja ya Microsoft lakini bidhaa ni tofauti tofauti kama vile Windows, Office, Internet Explorer, Visual Studio na Xbox.

Kwanini TBC isingebaki kama TBC lakini ndani yake kuwe na TVT pamoja na Radio Tanzania? Kwanini walibadili majina? Kulikuwa na ulazima gani kufanya hivyo?

Mbona Serengeti, Manyara na Kilimanjaro ni vivutio vya kimataifa lakini bado vinabeba majina yale yale ya zamani na wazungu hawaja-ignore?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ccm haiwezi kuiba kura, Rais Magufuli anapendwa sana na Watanzania Pia usije ukamfananisha lowasa na huyo msaliti wa Nchi.
 
Matakwa ya Beberu aliyetutawala kuona vyombo vya habari kwenye Himaya yake vinafanana;
BBC - Uingereza
SBC - Afrika Kusini
KBC - Kenya
UBC - Uganda
TBC - Tanzania.
Ina maana tulikosa sauti sisi kama Tanzania mkuu?
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Kwanza ninaomba kuanza kwa kutoa shukrani zangu za dhati kwa serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya habari, vijana utamaduni na michezo pamoja na shirika la Taifa la Utangazaji (TBC) kwa kuamua kuwa Wazalendo kwa vitendo zaidi na kuamua kuboresha muonekano wa TBC.

Sasa hivi huwa nikiwa ninatazama TBC ARIDHIO ile saa moja jioni ni kama vile ninatazama CNN, BBC au Al Jazeera kwa maana camera na majukwaa ni ya kisasa, watangazaji wa kiume ni watanashati sana, hao akina dada ndio usiseme yaaani ni warembo saaaaana hususan yule dada wa kipare sijui mchagga wanamuita Elizabeth Mramba.

View attachment 1594227

I congratulate you guys once again. Huyo Elizabeth Mramba kama hajaolewa mpaka sasa ninaomba mwenye number zake anipe mara moja wakuu kwa maana sio kwa weupe ule. Hahahahahaaaa, I am joking.

Ndugu zangu watanzania eti;

Kulikuwa na umuhimu gani wa kubadili jina la shirika letu la habari kutoka TVT (Televisheni ya Taifa) na kuitwa TBC (Tanzania Broadcasting Corporation)?

View attachment 1589921

Kama suala ni structual change (shake up) kwani isingeweza kufanyika bado ikibeba jina hilo hilo pamoja na logo ya TVT?

Kulikuwa na umuhimu gani wa kubadili jina la shirika letu pendwa, muhimu na la kizalendo katika kutangaza misimamo ya taifa hili imara barani Afrika lililojaa mashujaa na wachapakazi?

Ninajua kuna watu watakuja na hoja kwamba TBC ilizaliwa baada ya kuunganisha RTD (Radio Tanzania Dar Es Salaam) na TVT.

Lakini mbona kampuni ni moja ya Microsoft lakini bidhaa ni tofauti tofauti kama vile Windows, Office, Internet Explorer, Visual Studio na Xbox.

Kwanini TBC isingebaki kama TBC lakini ndani yake kuwe na TVT pamoja na Radio Tanzania? Kwanini walibadili majina? Kulikuwa na ulazima gani kufanya hivyo?

Mbona Serengeti, Manyara na Kilimanjaro ni vivutio vya kimataifa lakini bado vinabeba majina yale yale ya zamani na wazungu hawaja-ignore?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Kumbuka kabla na baada ya Uhuru lilijulikana Kama TBC (Tanganyika Broadcasting Cooperation)
 
images.jpeg-128.jpg
images.jpeg-127.jpg
images.jpeg-126.jpg
 
Back
Top Bottom