Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
INAWEZEKANA labda mimi upeo wangu ni mdogo ila nilikuwa nataka kufahamu ivi kulikuwa kuna faida gani ya baadhi ya waafrica wenzetu kupigania uhuru wakati kila kitu tulikuwa tunapata toka kwa wazungu.
kama elimu ilikuwa ni bure, hospitali watu walikuwa wanatibiwa bure lakini pia bila kusahau wazungu walitujengea shule za msingi na secondari ambazo wamesoma viongozi wengi,wamejenga reli, ofisi za serikali zilizopo hivi sasa nyingi zilijegwa na wao .........
lakini twende mbele turudi nyuma kama haya yote walikiwa wanatufanyia wazungu ivi kulikuwa na haja waafrica wengi kupigania uhuru na huu uhuru walikuwa wanaupigania kwa maslahi ya nani kama kila kitu tulikuwa tunakipata na maendeleo yalikuwa yanapatikanaaa
kama elimu ilikuwa ni bure, hospitali watu walikuwa wanatibiwa bure lakini pia bila kusahau wazungu walitujengea shule za msingi na secondari ambazo wamesoma viongozi wengi,wamejenga reli, ofisi za serikali zilizopo hivi sasa nyingi zilijegwa na wao .........
lakini twende mbele turudi nyuma kama haya yote walikiwa wanatufanyia wazungu ivi kulikuwa na haja waafrica wengi kupigania uhuru na huu uhuru walikuwa wanaupigania kwa maslahi ya nani kama kila kitu tulikuwa tunakipata na maendeleo yalikuwa yanapatikanaaa