kulikua na ulazima wa kumteua mwandosya?

Msomi wetu lol.

JK anajua watu wa mbeya walivyowatata
ameona mweke tu hivyo hivyo ya mbele Mungu anayajua.
 
Elimu ni nzuri sana, ukikosa elimu unakuwa kama mtumwa wa milele. Hivi katika mawazo yako unafikiri Rais anateua watumishi au Mawaziri ili kukuridhisha wewe na familia yako? Tambua kuwa kabla ya Ujeuzi Rais anashauriana na jopo la watu wenye heshima sana na Elimu ya kutosha na kupata ushauri wa kina.


Rais hawezi kukusikiliza wewe unayefikiria wajomba zako na binamu zako ndiyo wateuliwe. Nchi huendeshwa kwa umakini sana na ndivyo Rais anafanya, sio kusikiliza mawazo potofu kama yako.

Prof. Mwandosya ni mtu muhimu sana katika nchi hii, duniani na Chama cha Mapinduzi, hivyo lazima Serikali iendelee kumtumia kwa faida ya Watanzania wote na siyo kwa faida ya Wajomba zako.

Tatizo lako hujui hata mahusiano mema kazini, ukimwajiri Housegirl nyumbani kwako, alafu ghafya huyo binti akaanza kuumwa, usifikilie kumfukuza kazi kwa vile tu hawezi kukupikia kande kwa wakati huo na huku ukiwaza gharama za kumtibu. Kwanza fikiria kumtibu ili arudi katika hali yake ya kawaida alafu endelea kumtumia.


Ingekuwa nchi hii inaendeshwa na wajinga kama nyinyi pangechimbika kwani immediately ukisikia Waziri, Katibu, Mhasibu, Tarishi, Mfagizi wa choo katika Ofisi za Serikali anaumwa wewe ungekuwa ni kuulizia faili lake ili kumsimamisha kazi mpaka atakapopona au akichelewa kupona unamfukuza kazi.

Big up JK, Prof. Mwandosya nchi hii bado inamwitaji usisikilize hawa walevi.
No wonder we are where we are.
 
linganisha na kazi alizolifanyia taifa hata kabla ya kupata uwaziri kisha utajua kwamba Jk alikuwa sahihi kumpa wizara hiyo.

Usifikiri Rais anatoa fursa hiyo kwa kila kiongozi ni fursa idimu kupewa na nadra sana kukutana nayo ni viongozi wangapi wamepishana na fursa hii.

Wizara hiyo ndio ipi? Jk kashasema waziri asiyekua na wizara!!!
 
Back
Top Bottom