Babu Swahili
Member
- Jan 8, 2009
- 41
- 6
Ati nasikia kuna ligi ya netiboli ya wanaume Zenji....
Astighafurilahi...
Picha kwa hisani ya Michuzi Blog
Astighafurilahi...
Picha kwa hisani ya Michuzi Blog
Hata Bara kuna Ligi ya Football ya wanawake yakhe,kwa hiyo ngoma droo.........Ati nasikia kuna ligi ya netiboli ya wanaume Zenji....
Astighafurilahi...
Picha kwa hisani ya Michuzi Blog
Mhhhhhh,ikoje hii sumsumia mkuu.....Zenji bwana,mdebwedoooooooooooooooHayo madogo tu makubwa yana nafuu,Kuna na sumsumia pale Malindi, ushaona mwanamme anafungwa kanga ww?
Hii Mkuu habari zake kubwa, nkudokezee tu ni mambo ya kuzunguka duara na kufuata mlio wa ngoma na kofi za pamoja, huku ukitikisika juuu!! chini!! juu!! chini!! huku wanaume wakikungurumia....aaah..mmmhhh!!!Mhhhhhh,ikoje hii sumsumia mkuu.....Zenji bwana,mdebwedooooooooooooooo
Vipi yakhe utacheza hiyo sumsumiya. Tukuanzie na samra- samra.Mhhhhhh,ikoje hii sumsumia mkuu.....Zenji bwana,mdebwedooooooooooooooo
Enhe! naona mnataka kumfunga mtu kanga sasa!Mwambie huyo - kama atakuwa mwana-mwari itabidi aanze na samra samra
Twawakaribisha Zenj. Malindi- Simba amenywesha chai- na wazee wacheza dhuna pale.Enhe! naona mnataka kumfunga mtu kanga sasa!
Wanasema zile seruni zinawatisha eti mtu katinga seruni yake halafu anakukaribisha kahawa anakwambia kesha kulipia, upowe usiwe na wasiwasi kama unataka na kashata chukuwa na kikombe chengine cha kahwa atakuongeza bureee, wewe kunywa tu. He! Malindi! Simba na ukali wake kawa mtiifu.Twawakaribisha Zenj. Malindi- Simba amenywesha chai- na wazee wacheza dhuna pale.