Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Wakuu tarehe 12/03 nilijiunga na kifurushi cha sh 5,000/= kama kawaida yangu takriban miaka mitatu au minne hivi.
Na kila nikijiunga hupata ujumbe huu "Ndugu mteja, Umefanikiwa kuunganisha huduma yako ya Watumishi Pack Plus 2GB-100min-AllNetworks-100sms Monthly. Piga *148*30# kwa huduma zaidi".
Tarehe 19/03 nikapokea ujumbe huu "Ndugu mteja, umeshatumia asilimia 75 ya dakika zako za mwezi. Piga *148*30# kwa huduma zaidi." Ujumbe huu haukunisitua kwani ni mara nyingi huupokea na kuendelea na matumizi mpaka mwezi unaisha.
Jana asubuhi, tarehe 22/03 nikataka kupiga cm nikaambiwa salio limeisha bila hata kutumiwa ujumbe. Kawaida hupokea ujumbe wa kunijulisha muda wa kifurushi kuisha.
Nikawasiliana nao na kuambiwa 2GB ya dakika 100 nimeimaliza. Nikamwambia mbona si kawaida yangu au pana mabadiko gharama ya vifurushi hapo?
Sijajibiwa mpaka sasa.
Na kila nikijiunga hupata ujumbe huu "Ndugu mteja, Umefanikiwa kuunganisha huduma yako ya Watumishi Pack Plus 2GB-100min-AllNetworks-100sms Monthly. Piga *148*30# kwa huduma zaidi".
Tarehe 19/03 nikapokea ujumbe huu "Ndugu mteja, umeshatumia asilimia 75 ya dakika zako za mwezi. Piga *148*30# kwa huduma zaidi." Ujumbe huu haukunisitua kwani ni mara nyingi huupokea na kuendelea na matumizi mpaka mwezi unaisha.
Jana asubuhi, tarehe 22/03 nikataka kupiga cm nikaambiwa salio limeisha bila hata kutumiwa ujumbe. Kawaida hupokea ujumbe wa kunijulisha muda wa kifurushi kuisha.
Nikawasiliana nao na kuambiwa 2GB ya dakika 100 nimeimaliza. Nikamwambia mbona si kawaida yangu au pana mabadiko gharama ya vifurushi hapo?
Sijajibiwa mpaka sasa.