Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Wandugu,
Nimekuwa nikitafakari vimbwanga vilivyotokea hapa nchini vilivyoweka rekodi ya aina yake tangu nchi yetu ipate uhuru. Najua vipo vingi, lakini nitachokoza kwa kuanza na hivi vitatu.
1. Wananchi kupopolea mawe msafara wa jk wakati wa ziara yake mkoani mbeya. Hili lilikuwa ni tukio la kihistoria tangu tupate uhuru.
2. Wakati wa sherehe za Mei Mosi 2010 kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu muungano wa vyama vya wafanyakazi haukualika serikali kushiriki kwenye sherehe, tofauti na ilivyozoeleka tangu tupate uhuru na sherehe zilihitimishwa bila hotuba za viongozi wa serikali akiwemo jk mwenyewe.
3. Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu wabunge wasiopungua 40 wanatoka nje ya ukumbi wa bunge ikiwa ni ishara ya kususia hotuba yake.
4. .......
Wenye matukio mengine ya kihistoria tafadhali waendeleze orodha hiyo.
NINACHOJIULIZA
ccm inayayaona hayo kuwa ni ya kawaida?
Nimekuwa nikitafakari vimbwanga vilivyotokea hapa nchini vilivyoweka rekodi ya aina yake tangu nchi yetu ipate uhuru. Najua vipo vingi, lakini nitachokoza kwa kuanza na hivi vitatu.
1. Wananchi kupopolea mawe msafara wa jk wakati wa ziara yake mkoani mbeya. Hili lilikuwa ni tukio la kihistoria tangu tupate uhuru.
2. Wakati wa sherehe za Mei Mosi 2010 kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu muungano wa vyama vya wafanyakazi haukualika serikali kushiriki kwenye sherehe, tofauti na ilivyozoeleka tangu tupate uhuru na sherehe zilihitimishwa bila hotuba za viongozi wa serikali akiwemo jk mwenyewe.
3. Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu wabunge wasiopungua 40 wanatoka nje ya ukumbi wa bunge ikiwa ni ishara ya kususia hotuba yake.
4. .......
Wenye matukio mengine ya kihistoria tafadhali waendeleze orodha hiyo.
NINACHOJIULIZA
ccm inayayaona hayo kuwa ni ya kawaida?