Kulikoni upatikanaji wa dawa katika hospitali za umma?

Pole,jikite kujibu hoja zote za mleta mada pamoja na nilizoainisha hapo juu.Kuna mambo mengine ya ki-utendaji hayahitaji hata hizo pesa inategemea weledi wa kiongozi na timu inayomzunguka.kwa mfano:
  • Je DG Mavere kutembea na ofisi ya umma bila kukaimisha huku aki-paralyze operations kama kuchelewesha mchakato wa manunuzi ya dawa,Je hilo nalo tatizo lina connection gani na uhaba wa pesa?
  • Je kushindwa kukamilisha mchakato wa DIRECTORS RECRUITMENT ili apate watu credible anaowa-trust kuwakaimisha ofisi,pamoja na kufanya decisions zinginezo muhimu,je hilo nalo lina connection gani na madeni au uhaba wa pesa?
  • Je kushindwa kwa Mavere ku-observe Sheria na Kanuni mbalimbali katika kutekeleza majukumu mbalimbali hadi kuletea kashfa Taasisi kama ile kashfa ya PAA au Appointments/Staff Transfrers zisizo na tija,je hayo nayo yanatokana na madeni au uhaba wa pesa?
  • Je yeye Mr.Mavere akiwa free of duress/threats alivyotangazia umma kwamba MSD imepokea TZS 57BLN za kununulia dawa na kuwa zinatosha,je hilo nalo ni shida ya mleta mada?

Sukuma Gang .
 
Sukuma Gang .
Pole! Naona we chawa wa Mavere baada ya kupigwa spana upo unaweweseka.Kama nilivyoeleza awali siye ni Whistle bLowers ambao tunaibua mada tunapoona hali ni mbaya tukiwa wishful ili kurekebisha mambo.Nadhani unajua leo bunge la JMT limeweka resolutions kadhaa dhidi ya MSD ,sababu ikiwa ni hali mbaya ya upatikanaji wa dawa katika hospitali na vituo vya afya vya umma.Kwa hiyo na -reiterate kuwa Mr.Mavere jipange,ikiwemo kupata haraka safu ya uongozi ya DIRECTORS,ili uachane na management style yako ya ku-personalize ofisi za umma kwa kutembea na ofisi ya umma unapokuwa safarini hivyo ku-paralyze operations ikiwemo kushindwa kununua dawa kwa wakati.Na wewe MSD BOARD CHAIRMAN Bi ROSEMARY SILAA ,ukiwa kiongozi wa Bodi ya wadhamini ya MSD,hebu na wewe acha kuendekeza ushikaji wako na Mavere ulioanza yeye akiwa NGO ya Globalheath na wewe Rose ukiwa PWC ,please exercise your oversight role msaidieni Rais mama SSH kuhakikisha MSD inatekeleza majukumu yake ipasavyo na wewe usiwe sehemu ya hujuma kwa Rais .
Tafadhali sikilizeni wenyewe kuhusu Resolutions hizo za Bunge dhidi ya MSD kutokana na hali mbaya ya upatikanaji wa Dawa
 
Back
Top Bottom