Mimi nataka waje wenyewe watuambie wewe unaleta mzaha bana?its serious issueUsijali haya yote ni matokeo ya kazi nzuri ya serikali ya awamu ya 5.
Subiri kwanza tumalize kutumbua, tutarejea
Njia sahihi ni kuwafuata kwenye ofisi zao. What if hawako hapa JF watakujaje kukujibu?Mimi nataka waje wenyewe watuambie wewe unaleta mzaha bana?its serious issue
Aisee hii ni mbaya sana kwa uchumi wa nchi, TRA boresheni miundombinu yenu ya systemTRA mnatukwamisha kutoa mizigo bandarini, tangu juzi hakuna system bank tumeshindwa lipa mpka jana ndo imekubali, sasa leo hatujapata hata CRO malipo hayaonekani na tunataka kutoa mizigo tunafanyaje?
Kila siku system system sijui inaendaga wapi!Aisee hii ni mbaya sana kwa uchumi wa nchi, TRA boresheni miundombinu yenu ya system
Unaweza ukapiga simu TRA ukaongea na mtu yoyote hata commissioner na ukamueleza tatizo lako. Contacts zote ziko kwenye website yao, pia wana customer call centreTRA mnatukwamisha kutoa mizigo bandarini, tangu juzi hakuna system bank tumeshindwa lipa mpka jana ndo imekubali, sasa leo hatujapata hata CRO malipo hayaonekani na tunataka kutoa mizigo tunafanyaje?
Just to add on this,sijui ina relationship na hii kivipi....TRA mnatukwamisha kutoa mizigo bandarini, tangu juzi hakuna system bank tumeshindwa lipa mpka jana ndo imekubali, sasa leo hatujapata hata CRO malipo hayaonekani na tunataka kutoa mizigo tunafanyaje?
Sidhani kama ni ufahamu mdogo kuna issue ngapi zinapita hapa na zinapata solution? wewe ndio ufahamu wako mdogo, usiiunderate Jamii forum, kama huna cha kuongea kaa kimya tu, salamu zitafika tu.Unaweza ukapiga simu TRA ukaongea na mtu yoyote hata commissioner na ukamueleza tatizo lako. Contacts zote ziko kwenye website yao, pia wana customer call centre
Kuja kuwauliza TRA kupitia hapa jukwaani ukitegemea kupata jibu ni ufahamu mdogo
Eee bwana eee unataka kuharibu kitumbua cha mtu sasa hivi!!!!Piga simu wizarani, wakizingua mpigie JPM, ongea kwa nidhamu na jieleze vizuri. Hiyo network itarudi mara moja.
Lakini, kwani wao hawajui wajibu wao? Haya mambo ya kukumbushana kumbushana ni quite old fashioned!Unaweza ukapiga simu TRA ukaongea na mtu yoyote hata commissioner na ukamueleza tatizo lako. Contacts zote ziko kwenye website yao, pia wana customer call centre
Kuja kuwauliza TRA kupitia hapa jukwaani ukitegemea kupata jibu ni ufahamu mdogo
TANESCO system zao ziko chini tangu asubuhi.Usijali haya yote ni matokeo ya kazi nzuri ya serikali ya awamu ya 5.
Subiri kwanza tumalize kutumbua, tutarejea