Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Nahisi na Rais ana mawazo hayo kuwa anapambana na Mabwanyenye. Nasikia hawa mabwanyenye wanataka export levy ishushwe hadi nusu kutoka 15% to 7.5% ndiyo wanaweza kununua kwa bei ya 3000 kwa kilo.Hahahaha wewe jamaa bwana, naona umekomaa na mabwanyenye.
Wanasema hiyo 15% baada ya mauzo ni 90bln. So serikali ikubali kushusha na kuchukua 45bln na kuwaachia wafanyabiashara 45bln. Au wabaki na 90 yao ila washushe bei kutoka 3000 na mkulima apate bei ndogo na wafanyabiadhara wapate hiyo 45bln toka kwa wakulima ?(nafikiri hili ndiyo limezoeleka kufanyika)
Naona Serikali imegoma kumpa mkulima bei ndogo na pia imegoma kupunguza 90bln yake.Ilichoamua ni kumtoa moja kwa moja huyu bwanyenye.