Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,810
- 623
<br /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34729&d=1312211567" border="0" alt="" /><br /><br />
<br /><br />
hawa ni wafugaji bana co walimu. haiwezekani kama ni walimuwakubali kuvalishwa hayo ma-tshirt ya njano ya No.1 tena yenye picha ya huyo dogo. I namaa hao wote wawe na akili inayofanana kuwa wanakubali magamba??? haiwezekani..
<br />
hata mm nakataa mkuu, am a teacher bana kamwe huwez kunifanyia huu ujinga sana sana ntampa mtu ngumi za uso tu.<br />
Nahisi hawa ni waendesha boda boda au ni vikundi vya biashara labda bt sio walimu.