Kulikoni Singida, ufinyu wa fikira au umasikini hata kwa wasomi kufiukia wanajidhalilisha kwa Dewji?

<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34729&amp;d=1312211567" border="0" alt="" /><br /><br />
<br /><br />
hawa ni wafugaji bana co walimu. haiwezekani kama ni walimuwakubali kuvalishwa hayo ma-tshirt ya njano ya No.1 tena yenye picha ya huyo dogo. I namaa hao wote wawe na akili inayofanana kuwa wanakubali magamba??? haiwezekani..
<br />
<br />
hata mm nakataa mkuu, am a teacher bana kamwe huwez kunifanyia huu ujinga sana sana ntampa mtu ngumi za uso tu.<br />
Nahisi hawa ni waendesha boda boda au ni vikundi vya biashara labda bt sio walimu.
 
Hii inasikitisha sana sana,kwani angeongea nao bila kuwavalisha hayo ma-tshirt ingekuwaje
Ukoloni tu huo
 
hata mm nakataa mkuu, am a teacher bana kamwe huwez kunifanyia huu ujinga sana sana ntampa mtu ngumi za uso tu.

Nahisi hawa ni waendesha boda boda au ni vikundi vya biashara labda bt sio walimu.
Nakubaliana. Simuoni mwalimu hapo. Labda kama ni wale 'Vodafasta' tunaweza kuwasamehe.
 
tulishaanza kukata tamaa na mkoa huu lakini tushukuru kaibuka Mh. Tundu Lissu angalau atajenga confidence ya vijana wa mkoa huu!
 

HII NDIYO SABABU YA KUVAA FULANA ZENYE PICHA YA DEWJI SOMA



Sekondari 17 Singida kupata mtandao wa Intaneti
Send to a friend

<TBODY>
</TBODY>
Wednesday, 03 August 2011 21:31
<SCRIPT type=text/javascript>digg_url = 'http://www.mwananchi.co.tz/biashara/13-biashara-za-kitaifa/14183-sekondari-17-singida-kupata-mtandao-wa-intaneti'; digg_title = 'Sekondari 17 Singida kupata mtandao wa Intaneti'; digg_bodytext = ''; digg_bgcolor = '#ffffff'; digg_window = 'new';</SCRIPT><SCRIPT type=text/javascript src="http://digg.com/tools/diggthis.js"></SCRIPT>0diggsdigg

Gasper Andrew ,Singida
MBUNGE wa Jimbo la Singida mjini, Mohamed Gullam Dewji, ameahidi kutumia zaidi ya Sh50 milioni kugharamia uwekaji wa mtandao wa intaneti (Internet) kwa shule zote 17 za sekondari za Serikali, jimboni humo ili kusaidia wanafunzi na walimu kujisomea zaidi.

Mpango huo wa aina yake,utaanzia na shule tano ambazo tayari zina umeme, shule hizo ambazo ni pamoja na Mitunduruni, Mwenge, Dk Salmini Amour, Chief Senge,na Kindai,kila moja itapewa kompyuta 20 ili kufungua darasa maalumu kwa ajili ya wanafunzi na walimu kujifunzia.
Dewji maarufu kwa jina la ‘MO’ alitoa ahadi hiyo wakati akizungumza kwenye kikao cha pamoja na walimu wa shule za sekondari za Manispaa ya Singida uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kanisa la Katoliki Misuna mjini hapa.

Alisema amefikia uamuzi huo kutokana na ukweli kwamba kupitia mtandao wa intaneti wanafunzi au mtu ye yote utamsaidia kujifunza mambo mengi.Aidha, alisema uamuzi huo umesukumwa pia na shule nyingi za sekondari za Serikali kukabiliwa na matatizo mengi yakiwamo vitabu vya kujisomea/kujifunzia.

“Kutokana na upungufu/uhaba wa vitabu vya kujisomea na mengine mengi, mimi mbunge wenu, nimeleta wataalamu wa intaneti kutoka Marekani ili watufungulie mtambo utakaowezesha shule zote za sekondari za Serikali zilizo na umeme, ziweze kujiunga na mtandao wa intaneti.
Dewji alisema hapo ndipo walimu na wanafunzi wanaweza kupata mambo mengi yatakayowasaidia kwenye masomo yao .

Add this page to your favorite Social Bookmarking websites
<SCRIPT type=text/javascript src="http://s3.chuug.com/chuug.twitthis.scripts/twitthis.js"></SCRIPT>

<TBODY>
</TBODY>
 
umasikini wa mtanzania uko kwenye nafsi yake...itatuchukua karne nyingi sana kuachana na huu ujinga...

on the other hand, sikumtegemea mo kuchapa t-shirt za njano na nyeusi...labda anajiandaa kufungwa tena na yanga hivi karibuni
 
Waalimu wa nchi hii ni kundi moja kubwa sana la watumishi wa umma ambao wana nafasi kubwa ya kusaidia kuleta mabadiliko katika nchi hii. Bahati mbaya sana hilio ndio kundi linalo rubuniwa kirahisi na watawala na kuchangia kupotosha ukweli wa mambo hasa vijijini ambako mwalimu ndio mfano wa kuiga kwa wanakijiji wengi.
Hapo nasikia Dewji aliwapa posho ya kikao hicho na kushangiliwa sana hadi watu wakaishiwa sauti. AIBU
 
Wakuu,

Sikuamini niliyoaaona kwenye picha hii? hivi yaani mbunge wa Singida mjini anaitisha mkutano wa walimu wa sekondari wa jimbo lake ili apate ripoti, hiyo sawa lakini anadiriki hata kuwavalisha vi tisheti vyenye picha yake? jamani hii si kuwadhalilisha yaani anawafanya kama wanafunzi wa shule ya chekechea?


attachment.php


Sio Singida tu...hata Dar akiitisha mkutano watu watajaa rudo...njaa Tz yote...anagalia wamagamba wakitaka kuitisha mkutano wanaenda na fulana za magamba watu wanakuja nyomi...every where.
 
Wakuu,

Sikuamini niliyoaaona kwenye picha hii? hivi yaani mbunge wa Singida mjini anaitisha mkutano wa walimu wa sekondari wa jimbo lake ili apate ripoti, hiyo sawa lakini anadiriki hata kuwavalisha vi tisheti vyenye picha yake? jamani hii si kuwadhalilisha yaani anawafanya kama wanafunzi wa shule ya chekechea?



attachment.php
Hawa ndio Wajanja wa Singida
 
Hii mijitu naishangaa saana

pamoja na kuelimika hawajatambua kwamba huju jamaa ndio miongoni mwa wahujumu uchumi wa kubwa wa hili taifaila,
 
Hao ni walimu hakuna ubishi.hivi huyo white anajua wote hao ni ccm mpk akawapiga hiyo mitishrt?hao hawapendi mabadiliko katika nchi hii wanachoamini amani itapotea bila magamba.wamejaa woga na hawajiamini.njaa kwel kiboko ndo maana hawapewi mishahara mikubwa ili waendelee kutumika ktk uchaguz na shughuli mbalimbali.njaa itatuua bongo jamani,eee mungu uturehemu na usikie kuomba kwetu.njaa.....
 
Hapa amebakiza kuwaaambia kesho waambieni wake zenu waje wasafishe nyumba yangu
 
Back
Top Bottom