Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 159
Nilipata fursa ya kumuuliza mh. JK kwa nini mkoa wa Singida hauna mwakilishi kwenye baraza lake la mawaziri? zaidi ya John chiligati na ambaye siyo mzawa wa mkoa wa Singida? jibu: "we bana vipi? wabunge wengi wa singida elimu yao ni kidato cha nne unategemea mtu kama huyo umpe uwaziri afanye nini ?"
Hivi mtu mwenye elimu ya kidato cha nne hawezi kuongoza wizara kwa sababu ya kiwango chake cha elimu?
Hivi mtu mwenye elimu ya kidato cha nne hawezi kuongoza wizara kwa sababu ya kiwango chake cha elimu?