Kulikoni Shyrose kuomba kura za NEC ya CCM kupitia gazeti la CHADEMA?

Mwanafalsafa

Platinum Member
Jun 24, 2007
657
847
Sijui ni nani mwingine aliiona hii, ila toleo moja la wiki iliyopita la gazeti la Tanzania Daima (ambalo linamilikiwa na CHADEMA) kulikuwa na picha ya Shyrose Bhanji kwenye ukurasa wa mwisho kabisa kama tangazo akijitangaza kuwa yeye anagombea ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na kwa hiyo anaomba kura yako.

Well, kwa vile wanaopiga kura ni wajumbe wa CCM pia sikuelewa mantiki ya Shyrose kujitangaza kupitia gazeti la CHADEMA. Sikatai CCM wanaweza kuwa wanasoma hilo gazeti pia lakini bado inazua maswali mengi kuliko majibu.

Wana-JF mnasemaje?
 
Sijui ni nani mwingine aliiona hii, ila toleo moja la wiki iliyopita la gazeti la Tanzania Daima (ambalo linamilikiwa na CHADEMA) kulikuwa na picha ya Shyrose Bhanji kwenye ukurasa wa mwisho kabisa kama tangazo akijitangaza kuwa yeye anagombea ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na kwa hiyo anaomba kura yako.

Well, kwa vile wanaopiga kura ni wajumbe wa CCM pia sikuelewa mantiki ya Shyrose kujitangaza kupitia gazeti la CHADEMA. Sikatai CCM wanaweza kuwa wanasoma hilo gazeti pia lakini bado inazua maswali mengi kuliko majibu.

Wana-JF mnasemaje?
Gazeti la Chadema ndio lipi hilo? Siku zote nadhani chama pekee chenye gazeti ni CCM.
 
Sijui ni nani mwingine aliiona hii, ila toleo moja la wiki iliyopita la gazeti la Tanzania Daima (ambalo linamilikiwa na CHADEMA) kulikuwa na picha ya Shyrose Bhanji kwenye ukurasa wa mwisho kabisa kama tangazo akijitangaza kuwa yeye anagombea ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na kwa hiyo anaomba kura yako.

Well, kwa vile wanaopiga kura ni wajumbe wa CCM pia sikuelewa mantiki ya Shyrose kujitangaza kupitia gazeti la CHADEMA. Sikatai CCM wanaweza kuwa wanasoma hilo gazeti pia lakini bado inazua maswali mengi kuliko majibu.

Wana-JF mnasemaje?

..mkuu!usijiulize maswali mengi sana,unajua tena ninyi wanafalsafa!

..huyo dada naona kaamua kutumia taaluma yake ya mahusiano na umma!

..obviously,anajua kuwa wanaccm wengi husoma hilo gazeti!sasa yeye anataka wamwone na wakumbuke kuwa anagombea[ila,sijui reaction yao itakuwaje?]

..si kazi hata hilo uhuru hawalisomi kama tanzania daima!
 
Sijui ni nani mwingine aliiona hii, ila toleo moja la wiki iliyopita la gazeti la Tanzania Daima (ambalo linamilikiwa na CHADEMA) kulikuwa na picha ya Shyrose Bhanji kwenye ukurasa wa mwisho kabisa kama tangazo akijitangaza kuwa yeye anagombea ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na kwa hiyo anaomba kura yako.

Well, kwa vile wanaopiga kura ni wajumbe wa CCM pia sikuelewa mantiki ya Shyrose kujitangaza kupitia gazeti la CHADEMA. Sikatai CCM wanaweza kuwa wanasoma hilo gazeti pia lakini bado inazua maswali mengi kuliko majibu.

Wana-JF mnasemaje?

Mto hoja hujasema kama habari uliyoiona katika Tanzania Daima ilikuwa kama tanagazo ama ni makala, nadhani tungepata wasaa mzuri sana wa kuchambua.
Lakini mimi sioni tatizo lilipo, kama ataamua kuomba kura katika gazeti hili, provided amefuata taratibu zote za kufanya hivyo.
Chadema hawana gazeti. Ingekuwa TD ni la Chadema basi watu kama Hiza Tambwe na Akwilombe Shaibu wasingekuwa na nafasi mle, kwami wanatokea sisiemu.
 
Mto hoja hujasema kama habari uliyoiona katika Tanzania Daima ilikuwa kama tanagazo ama ni makala, nadhani tungepata wasaa mzuri sana wa kuchambua.

..ni tangazo na si makala!

Lakini mimi sioni tatizo lilipo, kama ataamua kuomba kura katika gazeti hili, provided amefuata taratibu zote za kufanya hivyo.
Chadema hawana gazeti. Ingekuwa TD ni la Chadema basi watu kama Hiza Tambwe na Akwilombe Shaibu wasingekuwa na nafasi mle, kwami wanatokea sisiemu.

..una uhakika?
 
Sijui ni nani mwingine aliiona hii, ila toleo moja la wiki iliyopita la gazeti la Tanzania Daima (ambalo linamilikiwa na CHADEMA) kulikuwa na picha ya Shyrose Bhanji kwenye ukurasa wa mwisho kabisa kama tangazo akijitangaza kuwa yeye anagombea ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na kwa hiyo anaomba kura yako.

Well, kwa vile wanaopiga kura ni wajumbe wa CCM pia sikuelewa mantiki ya Shyrose kujitangaza kupitia gazeti la CHADEMA. Sikatai CCM wanaweza kuwa wanasoma hilo gazeti pia lakini bado inazua maswali mengi kuliko majibu.

Wana-JF mnasemaje?



We mwanafalsafa,

Acha wivu na kumchongea dada wa watu CCM waone anapigiwa kampeni na wapinzani.

Mosi, TD sio gazeti la CHADEMA, ni gazi la familia ya Mbowe. Ni kama ukiamua kusema Rai ni gazeti la CCM kwa kuwa tu linamilikiwa na Mweka hazina wa CCM Rostam Aziz

Pili, alitoa matangazo kwenye magazeti mbalimbali- binafsi nimeona tangazo lake kwenye Majira, Mtanzania na gazeti lingine? Na haya majira na mtanzania yanamilikiwa na wanaCCM mbona hujayasema kuwa ameweka matangazo yake huko?

Mwanadada ameanza kuwa tishio kwa nyinyi mijibaba kwenye vile viti 20 vya bara ndio maana mnaanza kuweweseka nini!

Asha
 
Mimi nnavyojua wanafalsafa ni watu makini. Wakifikiri na kutafakari kabla ya kuandika au kusema. Anko Mwanafalsafa wewe umepitia njia ipi?
 
Kwanza hakuna gazeti la CHADEMA, kwanza kama hujui Tanzania Daima limetumika sana na MTANDAO na ndio maana Manyerere yuko Mtanzania na Balile naye anaelekea huko... Tanzania Daima halijawahi kuwa na mwelekeo wa Kichadema chadema, na ndio maana LIST OF SHAME ILIYOIBULIWA NA KATIBU MKUU WA CHADEMA, DR SLAA ILIANDIKWA KATIKA GAZETI LA SERIKALI LA HABARI LEO NA BAADAYE, MWANAHALISI na si Tanzania DAIMA
 
Tanzania daima ni kati ya magazeti yanayoongoza kwa sasa, ni gazeti ambalo ukitaka nakala yako huna budi kuwahi kama huko sehemu yenye watu makini.

Hivyo huyu Shy anajua hilo na ndio maana akaamua kutumia platform inayosomwa na wengi.

Hili gazeti haliko mwelekeo wa chama kama vile yale ya RA liko sana kitaaluma.
 
Sijui ni nani mwingine aliiona hii, ila toleo moja la wiki iliyopita la gazeti la Tanzania Daima (ambalo linamilikiwa na CHADEMA) kulikuwa na picha ya Shyrose Bhanji kwenye ukurasa wa mwisho kabisa kama tangazo akijitangaza kuwa yeye anagombea ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na kwa hiyo anaomba kura yako.

Well, kwa vile wanaopiga kura ni wajumbe wa CCM pia sikuelewa mantiki ya Shyrose kujitangaza kupitia gazeti la CHADEMA. Sikatai CCM wanaweza kuwa wanasoma hilo gazeti pia lakini bado inazua maswali mengi kuliko majibu.

Wana-JF mnasemaje?

Naogopa hata kukutaja jina kwa sababu wanafalsafa ni watu wapevu katika fikra na uchambuzi. Kama haya mawazo ni ya kwako wewe, ningekushauri utafute jina jingine linalokufaa halfu tukusikilize, lakini kujiita hilo jina halafu ukawa hivi, mh! Kama alivyosema mchangiaji mmoja hapo juu inaelekea wewe ni mmoja wa wale wanaomwogopa Shyrose, lakini yeye akiwa mwanahabari anajua jinsi ya kupenyeza ujumbe wake. Kama unatka Chadema wawe na gazeti ni vema ukawashauri mapema waanzishe gazeti lao, hili la Tanzania Daima siyo lao, kila mwenye akili timamu anajua. Na wanafalsafa wote wanajua hilo, ndiyo maana natilia shaka jina lako na sifa yako - havifanani! Pole!
 
..ni tangazo na si makala!



..una uhakika?

Sana tu. TD linamilikiwa na familia ya Mbowe, sio Chadema, ingawa Mbowe ni mwenyekiti wa Chadema. Chadema hawana gazeti.

Mosi, TD sio gazeti la CHADEMA, ni gazi la familia ya Mbowe. Ni kama ukiamua kusema Rai ni gazeti la CCM kwa kuwa tu linamilikiwa na Mweka hazina wa CCM Rostam Aziz

Pili, alitoa matangazo kwenye magazeti mbalimbali- binafsi nimeona tangazo lake kwenye Majira, Mtanzania na gazeti lingine? Na haya majira na mtanzania yanamilikiwa na wanaCCM mbona hujayasema kuwa ameweka matangazo yake huko?
 
Haijalishi ni Gazeti gani atalitumia kujitangaza, kwani hamuoni anavyo itumia Benki ya NMB kisiasa, kama ofisa uhusiono wa Benk hiyo! Leo unahoji kutumia Gazeti la Kibiashara la Familia ya Mbowe.

Subirini mtaona mengi sana kupitia huyu mama Kijana.

Halafu Mwanafalsafa Tanzania Daima si Gazeti la Chadema. Chadema bado hatujapata gazeti, wenye gazeti ni CCM, lakini magazeti yao hawayasomi siku hizi, wanasoma Tanzania Daima ndo maana mwanamama akaamuwa kujitangaza huko.
 
Haijalishi ni Gazeti gani atalitumia kujitangaza, kwani hamuoni anavyo itumia Benki ya NMB kisiasa, kama ofisa uhusiono wa Benk hiyo! Leo unahoji kutumia Gazeti la Kibiashara la Familia ya Mbowe.

Subirini mtaona mengi sana kupitia huyu mama Kijana.

Halafu Mwanafalsafa Tanzania Daima si Gazeti la Chadema. Chadema bado hatujapata gazeti, wenye gazeti ni CCM, lakini magazeti yao hawayasomi siku hizi, wanasoma Tanzania Daima ndo maana mwanamama akaamuwa kujitangaza huko.

Kwa nini hawasomi magazeti yao?
Yana mushkeli gani hasa?
 
Sijui ni nani mwingine aliiona hii, ila toleo moja la wiki iliyopita la gazeti la Tanzania Daima (ambalo linamilikiwa na CHADEMA) kulikuwa na picha ya Shyrose Bhanji kwenye ukurasa wa mwisho kabisa kama tangazo akijitangaza kuwa yeye anagombea ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na kwa hiyo anaomba kura yako.
Jamani tutafute mambo ya kudiscuss kwenye JF sio kusema kuwa Shyrose kajitangaa kwenye gazeti la CHADEMA, kwanza Tanzania Daima sio la Chadema..Lile ndilo gazeti lililobakia ambalo hakuna wa kulinunua wameweza kuyanunua yote ila lile wameshindwa..
Mwanafalsafa unatakiwa ujue kuwa kama kuna wanawake wenye ujasiri mkubwa ni Shyrose.. angalia ameamua kuingia kwenye kundi lile wanalosema la kifo kuwaonyesha kuwa hapendi kubebwa kwa hiyo kuweka kipeperushi kwenye magazeti hasa yanayosomwa na watanzania wengi ni sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom