Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,562
- 47,007
Kuzini ni process unayopitia mpaka kwenye kuhalalishwa kwa ndoa, kila mmoja wetu hupitia huko
Kuzini ni process unayopitia mpaka kwenye kuhalalishwa kwa ndoa, kila mmoja wetu hupitia huko
alafu zina kiwangi kizuri. kuna siku nilisaka hizi zingine nikakosa. bahati nzuri nikapita kibanda fulani nikakuta hizo za MSD nikanunuaTafuta za MSD ni bure. Hapo ni wewe na Pipe yako na Papucci Mvunje amri ya 6
My type, I love itmzee mbona hiyo cheap sana, nchi zingine bei ya condom imesimama
price 17.00$
View attachment 1020063
MSD ni bure why ulinunua? Au ulitoa Tipalafu zina kiwangi kizuri. kuna siku nilisaka hizi zingine nikakosa. bahati nzuri nikapita kibanda fulani nikakuta hizo za MSD nikanunua
Kuna maeneo nilizipata kwa buku 2
Mbona bei ya kawaida. Ni sawa na kununua pakiti sh 10,000 kwani humo zimo 10mzee mbona hiyo cheap sana, nchi zingine bei ya condom imesimama
price 17.00$
View attachment 1020063
Fursa hii,ukitaka kupiga heka uza ndom saiv, zingine zinaitwa Boxer ni buku kama Kawaida na raia hata hawalalamikiHii kitu nimeiamini jana baada ya kuzisaka zile salama za jero jero bila mafanikio, nilikuwa na game na wifi yenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma hapaHakika hili swala la salama (kondomu) tunaomba liangaliwe upya kwani kwa sasa hivi hali mbaya kondomu paketi moja ni sh 1,000 kutoka tsh 500 hali ni mbaya na mbali na bei hiyo lakini zimekuwa chache sana madukani kwa maana hiyo tutarajie mimba+ magonjwa kama ukimwi n.k
Kumbe...nawaza ikiwa kwa Dar iko hivi kwa sasa vipi huko mikoani kwa sasa
Huku kwetu sumbawanga mtowisa hatujui ata matumizi ya condom sisi ni kwenda kavu tuu...
Kati ya vijana 10 basi 7 ni waathirika wa UKIMWI hivyo ni bora twende kavu tutakunywa dawa...
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa sawaHuku kwetu sumbawanga mt
owisa hatujui ata matumizi ya condom sisi ni kwenda kavu tuu...
Kati ya vijana 10 basi 7 ni waathirika wa UKIMWI hivyo ni bora twende kavu tutakunywa dawa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutarajie Ongezeko la magonjwa ya Zinaa kama Kaswende, Kisonono na UTI bila kusahau ukimwi Kabisaa.. Kama kuna hila za aina yeyote Ile ili kujinufaisha niwaombe muachane na huo mpango mana mtaua na kutesa ndugu zenu bure tu.. Watanzania walio wengi ni maskini na starehe yao kubwa ni hiyo ili wasahau shida zinazowakabili hivyo chonde chonde
Sent using Jamii Forums mobile app