Jamani wana JF imekuwa muda mrefu sana sijasikia matokeo ya mpanda kati,ambapo makamu mnyekiti wa Chadema alikuwa anatetea kiti chake.Mwenye taarifa atujuze,ili tujue hali ya mpiganaji wetu!!!
Karatasi za kura kwa nafasi ya ubunge hazikuwepo kwa hiyo wananchi walipiga kura za Rais tu. Matokeo ya Urais Dr. Slaa anaongoza kwa zaidi ya 50% huku chadema ikichukua zaidi ya nusu ya viti vya udiwani ambavyo ni 7 katika jimbo zima. CCM haina matumaini ya kuchukua ubunge. Waache waendelee kusaga noti. Ushindi wa Arfi unakuja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.