Kulikoni Ramadhani Kabwili (Football player)

Wanamchafua tu mtoto wa watu
Tuache hizo jamani, yule mtoto ana ndugu na wazazi wake hivi hao wanaomzushia hizi habari wanajua wazazi wake wapo katika hali gani kipindi hiki?
Tuwe na huruma ndugu zangu
Kumchafua mbona mwenyewe hajakanusha?
na hizo habari za wazazi wake wanajisikiaje kwani unadhani mapunga wengine hawana wazazi walidondoka kwenye mifenesi?
 
Muogopeni Allah!!! Acheni kumnenea kijana wa watu maneno mabaya kama hayo. Ninyi wote mnao msema Kabwili Ni shoga wakati hamjawahi kumkuta live akiwa anashughulikiwa , ikawe hivyo Kwa watoto wenu WA kiume. Watoto wenu wote wa kiume wakawe mashoga . In Jesus Name . Amen
mbona mwenyewe hajakanusha? na kilchomfanya afute ukurasa wake wa insta ni nini?

Mbona hajasingiziwa zeruzeru ambaye anachukiwa zaidi na mashabiki wa SIMBA?

Kama hujui habari za huyo janja kuwa hana marinda ni za muda mrefu tu ila sasa ameamua kututhibitishia mwenyewe kwa kujirekodi.

NB:USITUTISHE NA MAHUBIRI YAKO YA KIPUMBAVU.
 
mbona mwenyewe hajakanusha? na kilchomfanya afute ukurasa wake wa insta ni nini?

Mbona hajasingiziwa zeruzeru ambaye anachukiwa zaidi na mashabiki wa SIMBA?

Kama hujui habari za huyo janja kuwa hana marinda ni za muda mrefu tu ila sasa ameamua kututhibitishia mwenyewe kwa kujirekodi.

NB:USITUTISHE NA MAHUBIRI YAKO YA KIPUMBAVU.
Mpumbavu mama ako
 
Muogopeni Allah!!! Acheni kumnenea kijana wa watu maneno mabaya kama hayo. Ninyi wote mnao msema Kabwili Ni shoga wakati hamjawahi kumkuta live akiwa anashughulikiwa , ikawe hivyo Kwa watoto wenu WA kiume. Watoto wenu wote wa kiume wakawe mashoga . In Jesus Name . Amen
Kwahyo unaomba kwa jina la yesu watoto wakawe mashoga naona Kuna nati zako zimekatika cjawai kusikia
 
Muogopeni Allah!!! Acheni kumnenea kijana wa watu maneno mabaya kama hayo. Ninyi wote mnao msema Kabwili Ni shoga wakati hamjawahi kumkuta live akiwa anashughulikiwa , ikawe hivyo Kwa watoto wenu WA kiume. Watoto wenu wote wa kiume wakawe mashoga . In Jesus Name . Amen
Picha umeziona?
 
Kaka Asante Kwa kunitumia. Nimeiona kaka . Hakuna ushahidi wowote kwamba huyo Ni Kabwili. Watu waache kudhulumu heshima ya kijana WA watu
Kwani hiyo video ni chafu kiasi haifai kuwekwa jukwaani kwanini msiipandishe hapa tukajadili kwa uhuru?
 
Hivi mtu unajisikia raha gan unapoona mwanaume mwenzio anafukuliwa tope? naona mijitu imekazana tu "nitumie na mm" ujinga mtupu.
Ndio hapo,yaani kwa mtu mwenye akili nzuri kabisa huwezi kuomba clip zenye mlengo huo hata kutamani kuziona,na mimi akitokea mtu kanitumia clip ya aina hiyo hata kama ni rafiki/ndugu yangu,ni block ya milele.
 
Muogopeni Allah!!! Acheni kumnenea kijana wa watu maneno mabaya kama hayo. Ninyi wote mnao msema Kabwili Ni shoga wakati hamjawahi kumkuta live akiwa anashughulikiwa , ikawe hivyo Kwa watoto wenu WA kiume. Watoto wenu wote wa kiume wakawe mashoga . In Jesus Name . Amen
Aisee uyo yesu uliomtaja atakuwa yesu wa buza ndio anaweza kubariki hio sala yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom