Hadrianus
JF-Expert Member
- Feb 19, 2020
- 2,112
- 5,208
Kwahiyo kama anapigwa miti watu wasiseme?Ushabiki wa kipumbavu sana huu basi unakuta mtu kakomaa ilimradi tu amchafue mtu sijui ni umasikini unatusumbua yaani mtu anaona kumzushia mtu kitu itapunguza makali ya maisha
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app