Kulikoni Prof. Mwandosya kugoma kurudi Tanzania?

Inawezekana Prof. hajapona jamani. Alienda Pilpililand kutibiwa hivyo hawezi kukubali kurejeshwa kama afya yake bado haijaimarika. Pia haiwezekani mtu kama Prof. M ang'ang'anie nchi ya watu bila sababu ya msingi. Taarifa za Mawaziri wetu nazo siyo za kuamini sana maana kuna siasa nyingi hata katika mambo ya msingi. Hebu angalia waziri mwenyewe anamshangaa mgonjwa badala ya kuchukua hatua stahili.
 
This is Disinformation inayofanywa na Jarida la Dira kwa malengo yao wenyewe.

Nampa benefit of the doubt Waziri Dr. Mponda kuwa Dira wamemuwekea maneno mdomoni kupamba habari.

Kuna tofauti kubwa tu kati ya;
Discharge from the Hospital (Inpatient/Wodini), lakini ukabaki na follow up clinics weekly/bi weekly(Kama mgonjwa wa nje).

Discharge from Hospital (All Services), kwa maana hata Outpatient Clinics zote wamekuruhusu kusafiri, na

Kitu kingine wanaita Fit To Travel By Air Certificate, ambayo inatolewa na daktari anaye mmonitor.

Sasa Dr. Mponda alipaswa aeleze hiyo Discharge ni ipi na whether ameshapewa Fit to Travel By Air Certificate then
pengine watu wangeweza kuconclude wakiwa na picha kamili.

Mkuu hapa tz kwa sasa ni kama shamba labibi! Kwa watu makini wanasikitika sana na mambo yanavyoendeshwa kwa sasa hapa nchini! Tumekosa viongozi makini, tumebaki na viherehere tu!
 
Inawezekana Prof. hajapona jamani. Alienda Pilpililand kutibiwa hivyo hawezi kukubali kurejeshwa kama afya yake bado haijaimarika. Pia haiwezekani mtu kama Prof. M ang'ang'anie nchi ya watu bila sababu ya msingi. Taarifa za Mawaziri wetu nazo siyo za kuamini sana maana kuna siasa nyingi hata katika mambo ya msingi. Hebu angalia waziri mwenyewe anamshangaa mgonjwa badala ya kuchukua hatua stahili.

walituambia umeme umeisha mgao kwa miezi 3, na hakuna kitu chochote cha ukweli, waseng-e tu hawa!
 
Back
Top Bottom