Chibidu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 387
- 49
Yawezekana kashakata kamba sasa jamaa wana delay ili watafute kisingizio kuwa jamaa kafia mtaani alikokuwa anapiga box baada ya kuwa ameshatoka salama hospital.....hahaha nimekumbuka mbali sanaAtakuwa na hofu akirudi watammalizia hao wabaya wake