Kulikoni NIMR Council?

Kamongo

JF-Expert Member
Mar 20, 2009
1,955
2,071
napenda kuchua nafasi hii kutoa malalamiko yetu sisi wafanyakazi wa NIMR juu ya bodi ya wakurugeni katika taasisi yetu.kwani bodi hii haijateuliwa tangu mwaka 2007 mpaka leo na hatujui sababu nini,kutokuwepo kwa bodi hii ya wakurugenzi kunatuthiri kwa kiasi kikubwa,mambo mengi yamesimama kwa kuwa hakuna bodi e.g kupanda vyeo,ajira mpya,tunaomba waziri mwenye zamana Prof Mwakyusa atueleze kunatatizo gani hasa linalosababisha kutoteuliwa kwa bodi hii au ni conflict of interest na uongozi wa juu wa National Institute for Medical Research (NIMR)
 
Last edited:
Kamango,
Inawezekana sijakuelewa unamaanisha nini,kuwa NIMR hakuna bodi ya wakurugenzi au Kurenew hiyo bodi??
 
ni kwamba kuna bodi ilikuwepo ambayo imemaliza muda wake tangu 2007, sasa cha ajabu mpaka leo haijateuliwa bodi mpya ya wakurugenzi,kuna nini au kamkomoeni?
 
Kwani nani anatakiwa kuiteua hiyo Bodi? Je huu ucheweleweshaji uko hapo tu au na taasisi zingine?

Mwakyusa sii wameshibana sana na JK hata ile reshufle hakuguswa- anamfagilia sana na ni Wizara chache ambazo skandali ni kidogo!

Je kuna dalili za Ufisadi katika Uteuzi?

Kwa nini hawachelewi kuteua Bodi ya TANESCO?

Au huko posho kidogo kwa wajumbe??
 
Kwani nani anatakiwa kuiteua hiyo Bodi? Je huu ucheweleweshaji uko hapo tu au na taasisi zingine?

Mwakyusa sii wameshibana sana na JK hata ile reshufle hakuguswa- anamfagilia sana na ni Wizara chache ambazo skandali ni kidogo!

Je kuna dalili za Ufisadi katika Uteuzi?

Kwa nini hawachelewi kuteua Bodi ya TANESCO?

Au huko posho kidogo kwa wajumbe??

Mkuu,

British managers say it is better to be bold and make decisions other than remaining silent and not making any decision at all! Of all decisions you make as CEO even if 80% happen to be correct and 20% wrong- you will be considered as a good manager! Ni kama bosi mzembe atakalia mafaili kwa miezi sita bila kutoa uamuzi...such boss may consult the subordinates..ili mradi faili la mtu lisilale!

Serikali hapo kwa kutofanya uteuzi tu hapo for all those years .. ni weakness of management ktk serikali!

JK ni sharp sana ktk hizi teuzi may be there may be another problem!
 
Bodi ikimaliza muda, Rais anajulishwa ili ateue Mwenyekiti wa Bodi, halafu ndio Waziri mhusika naye huteua wajumbe wa Bodi. Hivyo toka 2007 kutokuwepo bodi mbona ni muda mrefu.
 
Back
Top Bottom