Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,748
- 6,551
Hivi karibuni pametokea majina yanayochanganya kidogo. Nilizoea kumwona MTOTO WA MKULIMA sasa naona kuna MTOT WA MKULIMA, vile vile nilimzoea MzalendoHalisi naona sasa kuna ZalendoHalisi. Hivi hawa ni hao hao au wana uhusiano wa namna fulani hadi kuchukua majina yanayofanana kiasi hicho? Au hao wengineni fan wa aliyetangulia na wangependa kufananishwa nao? Nauliza tu. Kulikoni?