Kulikoni mbolea kupanda bei?

Syolosu

JF-Expert Member
Oct 18, 2019
867
1,008
Jana 29/11/2020 wauzaji wa mbolea wanadai bei elekezi ya kuuzia mbola imeongezeka.

Tarehe 26/11/2020 nimenunua mfuko wa DAP kwa 52,000/ Jana mfuko huohuo naambiwa 66,000/= hii bei mbona inabadiliko kubwa sana hivyo.

Ina maana Mamlaka husika ndizo zimepanga bei hii na tukumbuke mbolea haina VAT kwamba bei hii ndo wameona rafiki kwa mkulima anaelisha Taifa hili.
 
Jana 29/11/2020 wauzaji wa mbolea wanadai bei elekezi ya kuuzia mbola imeongezeka.

Tarehe 26/11/2020 nimenunua mfuko wa DAP kwa 52,000/ Jana mfuko huohuo naambiwa 66,000/= hii bei mbona inabadiliko kubwa sana hivyo.

Inamaana mamlaka husika ndizo zimepanga bei hii na tukumbuke mbolea haina VAT kwamba bei hii ndo wameona rafiki kwa mkulima anaelisha Taifa hili.
Nimesikia mahali wafanyabiashara wakizungumza kupanda kwa usafiri wa meli toka USD 2000 hadi USD 8000
 
Ni wakati sasa na wewe utoke uende ukajitegemee. Unapoendelea Kukaa hapo kwa shemeji ndio kunakuvimbisha kichwa usijue hata bei ya sukari. Unasema kulima kumepitwa na wakati wakati huo huo unamsumbua mumeo akununulie unga wa chapati

Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
Huyu huyu mzeya wa HARD -WARE
amekua KE na yupo kwa shemeji hahahahaha
 
Cha ajabu ,mpunga ,mahindi bado bei chini na mcmu WA kulima umefika, ili ununue mfuko WA mbolea lazima uze gunia mbili za mpunga kupata mfuko mmoja WA mbolea

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
 
.Ni kweli Sijui Bei ya sukari.
Ila najua Bei ya supu Ni 3,000.bei ya chapati Ni 3,00.
Wali makange ya kuki Ni 4,000 n.k
Sijaoa na uwa sipiki.kwa hyo siwezi kujua Bei ya sukari
Ni wakati sasa na wewe utoke uende ukajitegemee. Unapoendelea Kukaa hapo kwa shemeji ndio kunakuvimbisha kichwa usijue hata bei ya sukari. Unasema kulima kumepitwa na wakati wakati huo huo unamsumbua mumeo akununulie unga wa chapati

Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom