Hizi Marian boys wamekatwa makusudi. Kuna habari zinajitokeza kuwa kuna deliberate move ya kuzizima! Mungu nisaidie kama ni uvumi usio na ukweli!
Milioni nne day ndiyo nilisikia mara ya mwisho. Watoto wa Kigwa wanasoma hukoFunguka mkuu ada shilingi ngapi? Uchumi huu balaa
Milioni nne day ndiyo nilisikia mara ya mwisho. Watoto wa Kigwa wanasoma huko
Kwani ni lazima wawe kumi bora??
wamebaki na masanamu , wanayaambia masanamu yawaombee, chaaMatokeo yametoka jana lakini siwaoni katika KUMI BORA kulikoni?.
Nyinyi endeleeni kuipigia kura CCMBalaa sisi wa kijiji cha lutona kata ya kizengi tarafa ya igalula huko Wilaya ya uyuwi tutaweza?
Kwani marian schools zizimwe ?Hizi Marian boys wamekatwa makusudi. Kuna habari zinajitokeza kuwa kuna deliberate move ya kuzizima! Mungu nisaidie kama ni uvumi usio na ukweli!
Nyinyi endeleeni kuiligia kura CCM
wamebaki na masanamu , wanayaambia masanamu yawaombee, chaa
Nina ushahidi wa hilo! Tuachie hapo. Wingi siyo hoja maana kila somo lina walimu 3! hivyo management ya watoto in terms of overload ya walimu haipoKwani marian schools zizimwe ?
Mimi hayo madai naona hayana mantiki , walkua na wanafunzi wengi mwaka huu
Dah! Halafu kazuri kweli kweliT 0 mwaka 2019 F6 from St marys mazinde juuView attachment 1151751
hawawezi, if we can remark the scripts comparatively, utaona maajabu!Nawapongeza sana madogo wa Kisimili Sec.
Jaji kwenu mkpata kuwa namba Moja kitaifa najiua!wamebaki na masanamu , wanayaambia masanamu yawaombee, chaa
ushahidi upoHaiwezekani zikakatwa makusudi kama wamefaulu kihalali, tatizo linakuja je hizi shule walikuwa wanafaulu kihalali toka mwanzo?, walikuwa hawalikishiwi maswali?
Nina ushahidi wa hilo! Tuachie hapo. Wingi siyo hoja maana kila somo lina walimu 3! hivyo management ya watoto in terms of overload ya walimu haipo