Kwa kipindi sasa tumekuwa na hizi hospital zenye kutibu kwa miti shamba maarufu kama hospitali za tiba mbadala au herbal clinics.
Sina hakika sana taaluma za watoa huduma hizi japo wanajiita MADOKTA.
Ila Kinachoshangaza ni gharama kubwa wanazotoza kutoa huduma ikiwa ni pamoja na kuuza dawa hizo za miti shamba.
Yaani ukifikiria kwenda huko, kwa uchechefu sana uwe laki moja mfukoni.
Sina hakika sana taaluma za watoa huduma hizi japo wanajiita MADOKTA.
Ila Kinachoshangaza ni gharama kubwa wanazotoza kutoa huduma ikiwa ni pamoja na kuuza dawa hizo za miti shamba.
Yaani ukifikiria kwenda huko, kwa uchechefu sana uwe laki moja mfukoni.