Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
BSS ya mwaka huu imepoteza mvuto. Jana ndo ilikuwa fainali na wengi hatujui kilichojiri huko. Wadau tuambieni nani alikuwa nani huko
BSS ya mwaka huu imepoteza mvuto. Jana ndo ilikuwa fainali na wengi hatujui kilichojiri huko. Wadau tuambieni nani alikuwa nani huko
Yeah man. Hawa mapimbi kweli. Kwenye TV hawajaonesha, magazeti hakujaandikwa. Mpaka sasa hatujui nini kilijiri Diamond Jubilee. Kuna jamaa kanambia Mkata Viuno kalamba 40M. mwenye info please tuambie nani kaibuka kidedea
BSS ya mwaka huu imepoteza mvuto. Jana ndo ilikuwa fainali na wengi hatujui kilichojiri huko. Wadau tuambieni nani alikuwa nani huko
Kama ni yeye anastahili ila sijajua kwa nini hawakuaonyesha kwenye Tv hata kusikia kwenye vyombo vya habari sijasikia.