dali kimoko
Senior Member
- Jan 25, 2021
- 114
- 138
Nataarifiwa na vijana wangu kuwa leo Benki zote hakuna mtandao wa malipo ya TPA , kama ni kweli basi kuna tatizo kubwa sana,
tunaomba mamlaka husika fuatilieni ili tulipe tutoe mizigo ya wateja wetu.
tunaomba mamlaka husika fuatilieni ili tulipe tutoe mizigo ya wateja wetu.