Tanzania Mpya
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 253
- 144
Kwani nani anayechochea udini nchini? Wakati wa uchaguzi ni chama gani kinachowaambia wananchi "kile ni chama cha kiislamu, na kile ni cha kikristo? Ni nani alietuomba kura waislamu kwa kutuahidi Kadhi? Hao ndio wanaotuleyea udini nchini, na ndio unataka watawale milele?