Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,131
- 26,625
Mimi nakuunga mkono kwani hii ni supernatural. Ni mambo ya ndani sana katika ulimwengu wa roho...watu wanaweza kuona ni kama utani na siku moja ikawa kweli. Nawaambia hapa hakuna cha mambo ya dini kama wengine waqnavyodai ila kutokana na aina ya uandishi si kila mtu atakukubali, isipokuwa wachache akiwamo mimi. Army mutiny ilikuwa karibu itokee Tanzania enzi za Nyerere, kwani ingetokea haya yote yasingekuwepo? Haya Congo DRC iko bara gani? kwani wao hawana Mungu? Mbona vita kwao ndio salamu za asubuhi? Ivorians wanalia, wako bara Asia? Liberia mwaka 1992 haikukalika kabisa..mwimbaji wao wa reggae, Seydou Kone (Alpha Blond) akaimba Peace in Liberia, Peace in Monrovia..na nchi nyingine kibao za Afrika.
Ww tunajua sana mambo ya ulimwengu wa roho,ila c o kwa hili ametudanganya....maana tunaonyeshwa utawala huu unaishia