Kuliko kumdisco mwanafunzi wa mwaka wa tatu ni bora kumbeba kwa digrii ya Pass!

Ahsante mwalimu Kwa kunielimisha
ha ha haaaaa,kiukweli ukweli upo hasa vinavyotumia mfumo wa TCU,ambavyo mwalimu anakuwa na nguvu kubwa ya kumbana mwanafunzi kwa kuwa test,assignment mpaka UE,anatunga na kusahisha peke yake so inakuwa simple kwake kufanya hayo,kwa wanaotumia mfumo wa NACTE sheria zake ni tofauti,maana mwalimu anaanda course work work tu,ila UE wanapewa mtaala walimu wasiopungua watatu kutunga mtihani,then wanakaa ku moderate swali gani liwepo ktk mtihani na lipi lisiwepo,kw hiyo mwalimu wa somo anaweza kukuta swali lake hata 1 halipo ktk mtihani,then mna mark kwa panel,na mwalimu wa somo unaweza usiitwe kusahisha wakapewa wengine marking scheme wa mark,hata ukiingia ku mark unaweza kuambiwa usahishe mawili tu ukimaliza una mpa mwingine na mwingine hadi yaishe na matokeo huandai ww utaitwa kupitisha matokeo tu,so hapo denti akikupa kapenda mwenyewe tuuuu,ipo hivyo mkuu
 
Gharama ya kumwangamiza mtu ni kubwa kuliko gharama ya kumuokoa.
Inapotokea labda mwanafunzi 1st yr ana GPA ya 2.5 na second yr ana GPA ya 2.2 lakini 3rd yr akadondokea mathalani kwenye GPA ya 1.6 basi ni bora mtu kama huyu akabebwa kwa kukopa points za mwaka wa kwanza na wa pili ili kumuwezesha amalize na digrii ya Pass ya 2.0.
Gharama za kumuangamiza? Chuo ndo kimemuangamiza au performance yake ndo imemuangamiza?
 
Kwa mfano angekuwa mwanao unamlipia 6.7million kwa mwaka halafu akadisco yuko mwaka wa tano ungekuwa na nguvu ya kucomment hapa, muda mwingine inabidi ufikirie upande wa pili wa shillingi

Kwanini wewe unayemsomesha isiwe jukumu lako kumfatilia asije akafeli?
 
Nimesoma chuo kikuu ardhi huku nafanya business miaka minne sijawahi sio kufeli tu hata kupata sup. Mwanafunzi akifeli chuo ni uzembe wake mwenyewe
Ila some time mwaka wa 4 waachiwe tu wamalize shule unakuta mtu ana gpa ya 1.9 sasa huyu na mwenye 2.0 wanatofauti gani?? Alafu hukubmtaani kazi zinafundishwa upya yaan mwenye gpa ya 4 na 3 wote mnaanza kufundishwa kazi upya so hakuna jipyaa
 
Gharama ya kumwangamiza mtu ni kubwa kuliko gharama ya kumuokoa.
Inapotokea labda mwanafunzi 1st yr ana GPA ya 2.5 na second yr ana GPA ya 2.2 lakini 3rd yr akadondokea mathalani kwenye GPA ya 1.6 basi ni bora mtu kama huyu akabebwa kwa kukopa points za mwaka wa kwanza na wa pili ili kumuwezesha amalize na digrii ya Pass ya 2.0.
...Kweli kabisa, na unakuta waliopita wengine uwezo wao haufikii hata nusu ya wanaodisco! Hapa ndipo tatizo la 'elimu Vs vyeti' linaanzia.
Logically huwezi kusema hiyo miaka miwili /mitatu aliyokuwepo hakujifunza chochote, basi hata kwa mateso mpeni cheti alafu badala ya kukiita 'bachelor degree' iite 'advanced diploma'.
 
...Kweli kabisa, na unakuta waliopita wengine uwezo wao haufikii hata nusu ya wanaodisco! Hapa ndipo tatizo la 'elimu Vs vyeti' linaanzia.
Logically huwezi kusema hiyo miaka miwili /mitatu aliyokuwepo hakujifunza chochote, basi hata kwa mateso mpeni cheti alafu badala ya kukiita 'bachelor degree' iite 'advanced diploma'.
Ulifikiri kwanza kabla ya ku-post ulichoandika?
Apewe cheti kilichoandikwa "Advanced Diploma" how?
1. Toka lini Duniani mtu anakuwa awarded kitu ambacho hakuwa enrolled to?
2. Hujui kuwa Tanzania "Advanced Diploma" ni equivalent to "Bachelor Degree" so ni kwamba apewe tu Bachelor Degree yake ikiwa ktk jina lingine lenye maana ile ile. ha ha
 
Mtoa maada bado sijaona point yako ya msingi kabisa hapo ulikuwa unataka kuwasilisha kitu gani katika jamii!!
Mazingira ya chuoni watu wengi kufanya vibaya au kudisco huwa yanachangiwa na mtu binafsi mwenyewe...asilimia chache sana malecture wanazinguaga hasa pale unakutana na maswali konki yakukomoana ni huwa inatokea hasa kwa hawa malecture wakibongo sijui wanahisi tukipasua paper zao watashuka kiheshima au cjui huwa wanafikiriaga nn!!

Mwanafunzi wa chuo kwanza huwa anamuda mwingi wa kusoma Ila kinachowaponza wengi nikuendekeza stareehhe huku wanasahau kuwa kuna ratiba ya masomo...

Unajua watanzania sisi tukishafika level ya chuo huwa tunajiona tumekuwa sana halafu tunaona mambo ni rahisi lakini mambo hayapo hivyo tunavyodhania!!

Kama MTU umeshindwa kusoma na kufuata taratibu za chuo kwann uendelee kubaki chuoni inabidi wakurudishe nyumban ili ukajitathmini upya....

Kuna wakati inatokea MTU anadisco kwa bahati mbaya lakini case kama hizi huwa ni chache ukilinganisha na wale ambao wanadisco either kwa GPA kuwa chini sana, lakini kuna wengine huwa wanadisco kwa kuwa wakorofi mbele ya lecturers wao....

Cha msingi MTU unatakiwa kujitambua kuwa kwa wakati huu nipo seehhemu Fulani natakiwa nifanyaje ili kukabiliana na changamoto za hapa na pale....
 
Ulifikiri kwanza kabla ya ku-post ulichoandika?
Apewe cheti kilichoandikwa "Advanced Diploma" how?
1. Toka lini Duniani mtu anakuwa awarded kitu ambacho hakuwa enrolled to?
2. Hujui kuwa Tanzania "Advanced Diploma" ni equivalent to "Bachelor Degree" so ni kwamba apewe tu Bachelor Degree yake ikiwa ktk jina lingine lenye maana ile ile. ha ha
Unasema hivi kwa sababu ndivyo umekaririshwa pia. Kwani certificate huwa inasomewa muda gani!? Je, mtu aliyesoma degree kwa miaka miwili akaja kushindwa mwaka wa tatu tena semester ya mwisho topics anazokuwa amecover sio equivalent na certificate!? Au unataka kusema mtu aliyesoma miaka miwili ya degree ni sawa na mtu ambaye hajasoma kabisa!?
....kwenye enterview ambazo wanapima uelewa badala ya vyeti sio ajabu ukakuta aliyedisco mwaka wa tatu anadeliver vizuri kuzidi mwenye gpa zenu hizo.
 
hivi jamani naomba kujua gharama za chuo kama udsm bila mkopo mwaka wa kwanza mpaka anapata degree samahani nijuzeni
 
Unasema hivi kwa sababu ndivyo umekaririshwa pia. Kwani certificate huwa inasomewa muda gani!? Je, mtu aliyesoma degree kwa miaka miwili akaja kushindwa mwaka wa tatu tena semester ya mwisho topics anazokuwa amecover sio equivalent na certificate!? Au unataka kusema mtu aliyesoma miaka miwili ya degree ni sawa na mtu ambaye hajasoma kabisa!?
....kwenye enterview ambazo wanapima uelewa badala ya vyeti sio ajabu ukakuta aliyedisco mwaka wa tatu anadeliver vizuri kuzidi mwenye gpa zenu hizo.
hamna sehem nmesema aliyesoma degree miaka miwili ni sawa ambae hajasoma kbs, elewa nlichojibu against kilichofanya nijibu, stay ktk hiyo context badala ya kuhamisha context
 
hivi jamani naomba kujua gharama za chuo kama udsm bila mkopo mwaka wa kwanza mpaka anapata degree samahani nijuzeni
Kwa kozi gani..??
Gharama zinatofautiana ila kozi nyingi za undergraduate gharama zake kwa ada ziko chini ya Millioni Moja laki sita na nusu(1,650,000) + direct cost 97k.
Kwa maelezo zaidi ingia Google download udsm prospectus,Utapata maelezo ya kutosha.
 
Back
Top Bottom