Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,756
Gharama ya kumwangamiza mtu ni kubwa kuliko gharama ya kumuokoa.
Inapotokea labda mwanafunzi 1st yr ana GPA ya 2.5 na second yr ana GPA ya 2.2 lakini 3rd yr akadondokea mathalani kwenye GPA ya 1.6 basi ni bora mtu kama huyu akabebwa kwa kukopa points za mwaka wa kwanza na wa pili ili kumuwezesha amalize na digrii ya Pass ya 2.0.
Inapotokea labda mwanafunzi 1st yr ana GPA ya 2.5 na second yr ana GPA ya 2.2 lakini 3rd yr akadondokea mathalani kwenye GPA ya 1.6 basi ni bora mtu kama huyu akabebwa kwa kukopa points za mwaka wa kwanza na wa pili ili kumuwezesha amalize na digrii ya Pass ya 2.0.