KILITIME
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 265
- 18
:evil:'kuliko kikaoza bora nimpe jirani' jamaa ametoka safari ya kikazi miezi mitatu akakuta mkewe kavaa khanga imeandikwa maneno hayo!!! na yeye kesho yake akamletea khanga imeandikwa 'wako akiwa ndani akitoka nje si wako' kama ni wewe ungefanyaje????:evil: