Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Nimejionea jinsi tunavyoomboleza pale wapendwa wetu wanapotutoka. Pia nimejionea mbali na nyumbani, ughaibuni ndani ya usafiri wa umma, pale watoto wadogo wa Kiafirika wanapokuwa na wazazi wao wakiwa wanalia kwa sauti kubwa na kugalagala wakidai mahitaji yao.
Wakubwa kwa wadogo naona wote tunavilio vikubwa ambavyo havilingani ama sijapata kuviona katika kiwango hicho hicho kwenye jamii nyingine zisizo za Kiafrika. Are Africans more emotional? Naomba mawaidha yenu. Ahsanteni.
Wakubwa kwa wadogo naona wote tunavilio vikubwa ambavyo havilingani ama sijapata kuviona katika kiwango hicho hicho kwenye jamii nyingine zisizo za Kiafrika. Are Africans more emotional? Naomba mawaidha yenu. Ahsanteni.