Kuletewa Balozi mtaalamu wa Ulinzi wa Masuala ya Mitandao ni 'Diplomatic Gesture' ?

2 Jul 2012

Political Transition in Somalia: The Roadmap​


UN Special Representative for Somalia, Augustine P. Mahiga, lays out the roadmap of the country's political transition by August 2012. In the coming months, Somalia will elect both an inclusive new parliament and government.

Source : the United Nations Political and Peacebuilding Affairs

Source : Augustine P. Mahiga
Before joining the Tanzanian Foreign Service in 1983, Mr. Mahiga worked in the President’s Office as Acting Director General and Director of Research and Training from 1977–1983. He served in various capacities with the United Nations High Commission for Refugees (UNHCR), including as Chief of Mission to Liberia, Coordinator and Deputy Director of the humanitarian and refugee crisis in the Great Lakes Region, and UNHCR Representative in India, Italy, Malta, the Holy See and the Republic of San Marino.


Mr. Mahiga holds a PhD in Philosophy and International Relations from the University of Toronto, Canada. READ MORE
: Secretary-General Appoints Augustine P. Mahiga of United Republic of Tanzania Special Representative for Somalia | Meetings Coverage and Press Releases

Umenikumbusha huyu Mzee, kifo chake nakiona ni utata
 
Kwa wale mliofatilia tukio la kukabidhi hati Ikulu Magogoni kwa Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania, mtakuwa mlisikia kuwa Balozi mpya wa Italy nchini ni mbobezi wa masuala ya 'Cyber Security'

Je hii ni diplomatic gesture? Kwamba viongozi wetu wakubwa wameonekana kulalamika dharani 'mambo ya mitandaoni' hasa yule wa Twita. Mawaziri, Wabunge, IGP, Spika, marehemu,wastaafu na Mama sasa hivi kwa nyakati tofauri wamemgusia yule wa kwenye 'Twita' na hivyo kuonesha ni tatizo huku kukiwa na uvujaji mkubwa wa taarifa. Kumekuwa na tetesi za kutumika rasilimali watu, fedha na muda bila mafanikio

Mimi sina ujuzi wowote wa masuala ya kidiplomasia lakini kuletewa Balozi mtaalamu na mjuzi wa masuala ya ulinzi wa mitandao je ni namna ya ku 'offer' huduma kusaidia kutatua matatizo? Kwamba mtu anajua una shida lakini hawezi kuanza kutoa msaada anakuwekea mazingira na kusubiri uombe wewe mwenyewe.

Tukumbuke pia kipindi hiki cha mlipuko wa ugonjwa wa Covid US wametuletea Daktari wa binadamu

Wataalamu wa Diplomasia karibuni
Bwana Lombardi si tu mwanadiplomasia basli ana kazi maalum barani Afrika.

Siku hizi nchi nyingi ziloendelea huleta mabalozi ambao wana upeo mkubwa zaidi na wajuzi wa masuala ya aina tofauti, diplomasia, uchumi, ujasusi na uchumi wa kimkakati.
 
Bwana Lombardi si tu mwanadiplomasia basli ana kazi maalum barani Afrika.

Siku hizi nchi nyingi ziloendelea huleta mabalozi ambao wana upeo mkubwa zaidi na wajuzi wa masuala ya aina tofauti, diplomasia, uchumi, ujasusi na uchumi wa kimkakati.
Tunaweza kufaidika zaidi kwa ujuzi wake mkubwa?
 
Balozi anatakiwa awe na maarifa mengi ili kusimamia maslahi ya taifa lake, hivyo hata Tanzania mabalozi wetu wanaoteuliwa kuiwakilisha Tanzania nchi za nje lazima wawe na ubobezi wa aina fulani kufikia maslahi na malengo ya diplomasia ya kiuchumi.
Mkuu nchi inamteua balozi mwanamitindo au jamaa flani hivi mtoto wa mstaafu, nini maana yako ya mbobezi sasa?.
 
Tukumbuke kuwa Balozi ni mwakilishi kamili wa Rais wa nchi .. hivyo inabidi atoshe vilivyo. huwezi kumwakilisha Rais nusunusu..
hata kauli yako inaweza kusababisha dhahama kidiplomasia.
Kwa mfano Balozi wa Kenya nchini Dan Kazungu amewahi kuwa Waziri nchini kwao.. hivyo nchi zilizo makini hazitumi mtu wa kawaida tu..
 
Moja ya watu ninaowaheshimu sana humu Jamiiforums, una busara nyingi sana zinafanana na mstaafu wa utumishi wa umma wenye maadili na uzalendo

:)
Ila mimi si mstaafu bado ni kijana mmoja hivi wa kawaida sana.
 
Back
Top Bottom