Kuleni ila kwa urefu wa kamba zenu: Is she guilty or not?

Rebeca 83

JF-Expert Member
Jun 4, 2016
14,840
31,583
Hello Great Thinkers,

Hii sentensi ya Mama ilileta confusion kwa wengi.

Wengi, walidhani Mama amemaanisha sasa Mafisadi ruhusa kuvuna.

Kiukweli mimi nadhani alikuwa anamaanisha kitu tofauti. At that moment labda alikuwa amejua jinsi 'wenzie; walivyokula kushinda Urefu wa Kamba zao...lol.

Kuna mambo mawili:

1. Being a woman and of faith, alikuwa shocked kuona watu wanakula to that extent, therefore she felt powerless.

2. Na yeye kadokoa, sema kidogo, sasa akaja kujua wenzie wamekula zaidi, so she felt a little bit guilty.

She was doing well, and she is still doing well, amejijengea profile nzuri within shortest time,

Honestly, nilikua namuamini na kwenye Context ya Ufisadi niliamini, ni number moja kati ya hayo Mawili niliyotaja ndiyo inamzungumzia mama.

Member mmoja sijui kama ni ukweli ama ni uongo alivyotaja mama na yeye 'yumo' na sasa amejiwekea dollar million 256 Kibindoni, nashawishika kuamini sasa ni number Mbili kati ya hayo niliyotaja ndio inamuelezea yeye.

Kama ni Uongo, please Moderators, muwe mnachuja comments manake nyingine ni mbaya sana, na hii thread yangu muifute, lol

Ila kama ni kweli,

Hii ni doa kwenye Uongozi wake,

Na ni hasara kwa watanzania..

Na hio Whistle Blowing Policy iondolewe tu...

Sababu, its pointless kujua fulani ni Fisadi, A Crook, Kama huwezi kumface na kumpeleka kwenye Justice,

Ama wewe Mwenyewe kama Rais kuwega Maigizo, kuwa ufisadi this, Ufisadi that, kumbe na wewe umedokoa, sema kidogo :D

Tunachohitaji watanzania ni Accountability

Not Maigizo,

Najua kuna wapenzi wa Mama Kindaki ndaki humu.

But, we need to talk about this.

Ufisadi ni Adui,

Tanzania will reach her full potential kama hakuna Ufisadi.

Say No to ' MAIGIZO',
 
Kama hizi ndio attitudes zenyewe watanzania then ndio maana wanaendelea tu na Maigizo tuu...
Watanzania utawaonea tu. Ni suluhisho gani walilo nalo? Kuingia mabarabarani na kufanya maandamano ya kudumu mpaka serikali isalimu amri? Toto Tundu alishajaribu hii mbinu. Uliona hata Mtanzania mmoja aliyejitokeza?

Katiba yenyewe ndo hiyo. Inamuona rais kama mungu mtu. Unataka Watanzania wafanye nini wakati ni waoga na mwamko wao ni mdogo?
 
Both are correct.

1. A woman and powerless ?! Of course yes, is it not clear before our own eyes ?! (Mimi sio kama Magufuli, msinitegemee kufoka)

2. Na yeye alidokoa. Ooh please YES. Whats all that her assets on the rise thing ie "nimefungua TV ya familia SULUHUTV, sio yangu ni ya familia" her secrete mansions in the USA, Sweden, Venezuela, Tobago etc

Having looted bags of raw cash, she figured nobody would take a bullet for her ass, so yeah, expose them before they expose your fat ass., or was there any better idea for her ?! Of course not, Ndio ikaja "kuleni kwa urefu wa kamba ...., msivimbiwe bla bla bla"

But hey, easy up, everyone is hiding something somewhere. What bout the European off shore accounts of the "elites" watakatifu wenu kabisa kama Katelephone ?! Who ever suspected.

Just watching 'em all play holy was a red flag and ya all should have smelt a rat. All in all noone can stop em not even themselves.
 
Watanzania utawaonea tu. Ni suluhisho gani walilo nalo? Kuingia mabarabarani na kufanya maandamano ya kudumu mpaka serikali isalimu amri? Toto Tundu alishajaribu hii mbinu. Uliona hata Mtanzania mmoja aliyejitokeza...

Mimi bado nawalaumu Mafisadi, hao ndio wamewanyima watanzania kupata access to education, elimu ya Uraia ingetolewa vizuri kila Mtanzania akajua haya Maigizo, hata kuandamana wangeandamana mpaka haki ipatikane.

Sio kweli Watanzania ni waoga, sema hawana awareness, Kungekuwa na awareness kungekuwa na Mwamko, na hakuna mtu anayeweza ku create awareness, sababu Mafisadi yameshikilia vilivyo vyombo vya serikali,TISS,Mahakama, So ukijaribu ku create awareness you are silenced.

Tundu Lissu i believe alifeli sababu mimi nahisi unatakiwa uanze bottom up and not top down, kwanza awareness and then Maandamano, na sio Maandamano then ndio awareness,,,,,lazima watanzania wafikie boiling point ndio uitishe maandamano..otherwise its pointless.

Binafsi najua hatuwezi kufanya lolote kizazi chetu, ila tunaweza ku lay foundation kwa kizazi kijacho kikae bila ufisadi...
 
Duh mama kama mama.
Kumbe aliogopa kisa mwizi.

Ila mara kadhaa nakumbuka mzee(wangu) anasema serikali sio baba ako even Taasisi za kidini piah kiraia.

Kwa mantiki hiyo mtu anaona afuje. Ila cha muhimu ni kucreate awareness pamoja na kuhimiza vijana kuwa wazalendo.

Maana mindset za vijana wengi ziko polluted tangu chini. Mtu anawaza akipata nafasi ni kutumbua tu. Ndio maana wanaidharau kazi ya ualimu kwa sababu haina hayo mambo sana.

Ila mama aache kutuchora.
 
Nchi hii kila mtu akipata nafasi
Anataka kupiga!
Hakuna anayetaka kubaki nyuma
Kila mtu anataka kuwa na hela kama fulani...
Mfano,labda mshahara wa mkuu wa mkoa million kadhaa,lkn cheki Mali mtu anazomiliki,je hiz Mali zmetokana
Na mshahara wake

Ova
 
Hello Great Thinkers...

Hii sentensi ya Mama ilileta confusion kwa wengi...
Rubbish..

Point ni ule Kwa urefu wa kamba yako Sasa wewe ulitaka ule Kwa urefu wa kamba ya nani?

Kwamba methali ya kila mbuzi hula kulingana na urefu wa kamba yake wewe unaielewaje?

Mwisho mh.Rais anasisitiza kuwa mtu wa kiasi na kujali wengine.
 
Kama hizi ndio attitudes zenyewe watanzania then ndio maana wanaendelea tu na Maigizo tuu.
Ah sasa unataka watanzania tufanyeje.? Mana hakuna mtanzania yeyote wa kawaida anayeweza kwenda BOT na kuchota pesa bila kuulizwa.
Dah.....kwahiyo sisi ndiyo hatuna matumbo? 🤣🤣🤣🤣🤣
Matumbo tunayo tena makubwa sana ila hatuna kitu mkononi kitakachotufanya kuongezewa kingine
 
Uzalendo ulikuwa enzi za nyerere

Mama anajua jinsi hali halisi ilivyo sahiv kudhibiti ufisadi haiwezekani hivyo basi kama kula we kula tu ila usizidishe ikawa sifa ukaumiza wengine


Kula kwa urefu wa kamba yako
 
Back
Top Bottom