msolopaganzi1954
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 764
- 378
......For me, Hawa Ndo Majemedari WA Music Tz All Time.
Kila nikiangalia New songs za Mbunge wa Mikumi, navurugwa Sana, na naenda Mbali Sana mpaka Hard Blastars enzi Hizo Za Fanani.
Na Kuhusu Nyimbo Laini hapa Hakuna Ubishi Kama Diamond ndo Kiboko yao,
Tatizo Roho mbaya na Husda ndo Inatufanya tujifanye Kama Hatuoni ubora Wao, but For Sure Hawa Ndo Real Icons Hapa TZ
PERIOD
Kila nikiangalia New songs za Mbunge wa Mikumi, navurugwa Sana, na naenda Mbali Sana mpaka Hard Blastars enzi Hizo Za Fanani.
Na Kuhusu Nyimbo Laini hapa Hakuna Ubishi Kama Diamond ndo Kiboko yao,
Tatizo Roho mbaya na Husda ndo Inatufanya tujifanye Kama Hatuoni ubora Wao, but For Sure Hawa Ndo Real Icons Hapa TZ
PERIOD