Kulala sana

Kuna madhara yoyote kwa mtu kulala sana

Mkuu una minyoo hatari.nenda kwa wamasai waambia unataka dawa ya kutapika nyonyo kuna ya powder na miti waambie wakupe ya miti waikatekate kisha kachemshe unywe kama lita 1.mkuu utaarisha vitu vyeupeee na utakuwa ulali hovyo kama nguruwe tena.
 
Mkuu una minyoo hatari.nenda kwa wamasai waambia unataka dawa ya kutapika nyonyo kuna ya powder na miti waambie wakupe ya miti waikatekate kisha kachemshe unywe kama lita 1.mkuu utaarisha vitu vyeupeee na utakuwa ulali hovyo kama nguruwe tena.

uwii mbona umenitisha kulala ni minyoo kumbe?
 
Back
Top Bottom