Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi nyingi za Ulaya na Amerika ya Kusini ni kawaida kwa mwanaume kulala chumba kingine na mwanamke kulala chumba Kingine. Jee kibongo bongo inawezekana (kama mna nyumba kubwa) mwanamke kulala chumba tofauti na mumewe? Inaswihii jamani!!??
Nchi nyingi za Ulaya na Amerika ya Kusini ni kawaida kwa mwanaume kulala chumba kingine na mwanamke kulala chumba Kingine. Jee kibongo bongo inawezekana (kama mna nyumba kubwa) mwanamke kulala chumba tofauti na mumewe? Inaswihii jamani!!??
Tena wajapan nilisikia si kuwa wanalala different rooms tu ila eti wala hawa do. Wana do pale wanapotaka babies tu wakimaliza mambo ya kuzaa mama analala na watoto.
Ila wanawake wa Japani kwa vidumu usiseme. Wao ndio wanaotunza ela za familia though they are not allowed to work. Sasa unakuta mama ana pesa kweli kweli ana spend na masharobaro huku anampangie mumewe matumizi.
@Nyumba kubwa
they are not allowed to work by whom?
hayo mambo ya ku do mpaka mnapotaka babies nasikia ni wayahudi
wale fundamentalist..sijui wajapan....
but culture zingine unagundua kuwa sisi waafrika hasa wanaume tulivyo'bahatika'
ulaya ukimwambia mtu nina wake wawili...anakutazama kama cinema lol
By culture. Wana culture ya hajabu sana. Binti anafanya kazi akiolewa tu anahacha kazi tena wengi unakuta wana masters zao lakini ni house wives. Mke kwao kazi yake ni moja tu; kulea watoto.
Wale wajanja wanaamua kuwa single parents mfano maprofessor wa kike nilokutana nao wote hawana wame wengine wana watoto wengine hata watoto hawana.
Yani wana mila potofu za kwetu ni cha mtoto.
Ila wanachotuzidi ni kuwa mwanaume akipata mshahara lazima amkabidhi wife ni culture. Na wife anamgaiya ela mpaka ya lunch mumewe. Na wanawake wale wanoko unakuta anampa mumewe lunch box hivyo hapewi hata senti tano. Mke ndo financial manager.
Hata Asia specifically Japan ndio zao. Kiafrika watu wanapenda wakumbatiwe ati. Cha kushangaza kwetu huku joto lakini tunapenda kukumbatiwa all night long.
Haya maelezo yote umepata kwa kusikia au vyenginevyo? Na wana mila potofu kwa mujibu wa nani? whats the benckmark?
Haya maelezo yote umepata kwa kusikia au vyenginevyo? Na wana mila potofu kwa mujibu wa nani? whats the benckmark?
Of course sijaolewa na mjapani kwa hiyo ni kusikia. Nimewahi kukaa Japan 2 years; na mimi ni mdadisi. Mila zao ni potofu according to wao wenyewe. Nasema hivyo kwa kuwa new generation hawafagilii mila zao na wengi hawataki kuolewa wala kuzaa kuepuka kuwa house wives.
gee
nipo curious kidogo,we ni mdigo au ni mjapan?au both?
you sound both lol
nijibu hata kwa pm ikibidi lol
Basi walokwambia wamekupotosha.
Wajapani wanafanya kazi wakiwa na watoto majumbani kama kawaida. Hata kama si kazi rasmi za maofisini. Mimi maprofesa nilokutana nao wanafamilia na colleagues nilofanya nao kazi wana watoto nyumbani.
Wengi wakipata watoto huacha kazi kwa muda kwa sababu hakuna vituo vya kutosha vya day care na hakuna mwenye uwezo wa kulipa maids na mama zao wenyewe (bibi za watoto) wanaenda makazini. Lakini watoto wakianza shule hurejea makazini.
Sasa maofisi mengi yana facilities za kulelea watoto hapo hapo kwa hiyo wenye kurejea kazini baada ya kuzaa tu ni wengi mno.
Kuwasikia wakisema nj mila potofu sijawahi na Sioni kwa nini iitwe mila potofu. Mwanamke ana choice ya ama kufanya kazi au kubaki home. Ni mila nzuri tu mwanamke kuchagua kufanya akipendacho na kuweza kulea mtoto mwenyewe sio kama sisi tunavyowaacha house maids waliofeli shuleni kutulelea watoto
Kuishi kwangu kwenye culture tofauti sijawahi kutana na watu wanaopenda kuolewa kama Wajapani maishani na ndio maana kuna culture( be it pop or traditional) ya kutafuta wachumba.
Naamini umeishi miaka hiyo miwili bila ya kujua lugha yao hivyo kupitwa na mengi kwenye social system yao. Unaweza kuwa ulikuwa lost in translation
SOma hiyo link. Japanese are the least sexiest people in the world.
Basi walokwambia wamekupotosha.
Wajapani wanafanya kazi wakiwa na watoto majumbani kama kawaida. Hata kama si kazi rasmi za maofisini. Mimi maprofesa nilokutana nao wanafamilia na colleagues nilofanya nao kazi wana watoto nyumbani.
Wengi wakipata watoto huacha kazi kwa muda kwa sababu hakuna vituo vya kutosha vya day care na hakuna mwenye uwezo wa kulipa maids na mama zao wenyewe (bibi za watoto) wanaenda makazini. Lakini watoto wakianza shule hurejea makazini.
Sasa maofisi mengi yana facilities za kulelea watoto hapo hapo kwa hiyo wenye kurejea kazini baada ya kuzaa tu ni wengi mno.
Kuwasikia wakisema nj mila potofu sijawahi na Sioni kwa nini iitwe mila potofu. Mwanamke ana choice ya ama kufanya kazi au kubaki home. Ni mila nzuri tu mwanamke kuchagua kufanya akipendacho na kuweza kulea mtoto mwenyewe sio kama sisi tunavyowaacha house maids waliofeli shuleni kutulelea watoto
Kuishi kwangu kwenye culture tofauti sijawahi kutana na watu wanaopenda kuolewa kama Wajapani maishani na ndio maana kuna culture( be it pop or traditional) ya kutafuta wachumba.
Naamini umeishi miaka hiyo miwili bila ya kujua lugha yao hivyo kupitwa na mengi kwenye social system yao. Unaweza kuwa ulikuwa lost in translation