Kulala bungeni kwaanza, wiki moja tu...

Jay One

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
16,832
16,681
As usual tukisema kuna list kibao ya kulala bungeni some don't believe.

Juzi tu bunge limeanza huyu kaanza na kukoroma, one day mtu atatia aibu kwa kuota, au ku diffuse/pollute hewa bungeni, wait, mbunge must be active especially ndani ya jengo, then ukitoka kalale, take a look

kusinzia-1.jpg



At least huyu mzee hapa chini kaegemea ukuta asianguke anawakumbuka waliomchagua kwa SMS, ila alivyo disintegrate...mmmhhh, hiyo simu ilivyoshikwa aaalaaahh Mzee wa kiraracha vp? namombea msamaha kwa kuitwa CCM, bcoz of his health
 
Hawa si ndo wale viti maalumu? Wao wako kule kuchukua perdiem tu. Mbaya kabisa hii.
 
Alamba...alamba...laah!!! wasemeheni jamani hapo wenzenu wako mbali sana wanatamani kama spika afunge wakatumikie miadi iliyowapeleka Dodoma. Hasira 360 degrees
 
...Halafu ni vyema wakaambiwa kuwa camera za TV ziko live saa zote.

Leo alikuwepo moja mzuri mzuri hivi anachimbua yale 'madini' yapatikanayo ndani ya pua na kuyafinyanga finyanga kwa vidole vyake!! halafu wakitoka bila shaka ataenda kushikana mikono na wenzie...AARRGHH!:nono:
 
As usual tukisema kuna list kibao ya kulala bungeni some don't believe.

Juzi tu bunge limeanza huyu kaanza na kukoroma, one day mtu atatia aibu kwa kuota, au ku diffuse/pollute hewa bungeni, wait, mbunge must be active especially ndani ya jengo, then ukitoka kalale, take a look

kusinzia-1.jpg


Kulala mchana kunategemea na historia....ulikuwa unafanya nini usiku wa kuamkia leo?

Hamuelewi tu?

Staki ban mie!!
 
Kulala mchana kunategemea na historia....ulikuwa unafanya nini usiku wa kuamkia leo?

Hamuelewi tu?

Staki ban mie!!

Ubunge bongo ni dili aisee, lakini tufanyeje? tumejikuta katikati ya kuiga mifumo ya siasa na kutafuta maendeleo, which not necessarily coincides, na historia yetu ni kielelezo tosha.
 
As usual tukisema kuna list kibao ya kulala bungeni some don't believe.

Juzi tu bunge limeanza huyu kaanza na kukoroma, one day mtu atatia aibu kwa kuota, au ku diffuse/pollute hewa bungeni, wait, mbunge must be active especially ndani ya jengo, then ukitoka kalale, take a look

kusinzia-1.jpg


alikesha club 84 huyu!
 
As usual tukisema kuna list kibao ya kulala bungeni some don't believe.

Juzi tu bunge limeanza huyu kaanza na kukoroma, one day mtu atatia aibu kwa kuota, au ku diffuse/pollute hewa bungeni, wait, mbunge must be active especially ndani ya jengo, then ukitoka kalale, take a look

kusinzia-1.jpg



At least huyu mzee hapa chini kaegemea ukuta asianguke anawakumbuka waliomchagua kwa SMS, ila alivyo disintegrate...mmmhhh, hiyo simu ilivyoshikwa aaalaaahh Mzee wa kiraracha vp? namombea msamaha kwa kuitwa CCM, bcoz of his health

haaahaaaa unafikiri kukesha chako ni chako unakula kuku na taska za watu mchezo...madhara yake ndo hayo sasa usingizi vibaya sana mjengoni
 
As usual tukisema kuna list kibao ya kulala bungeni some don't believe.

Juzi tu bunge limeanza huyu kaanza na kukoroma, one day mtu atatia aibu kwa kuota, au ku diffuse/pollute hewa bungeni, wait, mbunge must be active especially ndani ya jengo, then ukitoka kalale, take a look

kusinzia-1.jpg



At least huyu mzee hapa chini kaegemea ukuta asianguke anawakumbuka waliomchagua kwa SMS, ila alivyo disintegrate...mmmhhh, hiyo simu ilivyoshikwa aaalaaahh Mzee wa kiraracha vp? namombea msamaha kwa kuitwa CCM, bcoz of his health

Back to human senses! Hilo la Mrema kidogo umepotoka. Ana matatizo ya ki-afya na huwa tunatoa pole badala ya kushangilia.
 
As usual tukisema kuna list kibao ya kulala bungeni some don't believe.

Juzi tu bunge limeanza huyu kaanza na kukoroma, one day mtu atatia aibu kwa kuota, au ku diffuse/pollute hewa bungeni, wait, mbunge must be active especially ndani ya jengo, then ukitoka kalale, take a look

kusinzia-1.jpg



At least huyu mzee hapa chini kaegemea ukuta asianguke anawakumbuka waliomchagua kwa SMS, ila alivyo disintegrate...mmmhhh, hiyo simu ilivyoshikwa aaalaaahh Mzee wa kiraracha vp? namombea msamaha kwa kuitwa CCM, bcoz of his health

Kazi ndiyo imeanza hivyo. Ndiyo maana umaskini nchi hii umepiga kambi.
 
...Halafu ni vyema wakaambiwa kuwa camera za TV ziko live saa zote.

Leo alikuwepo moja mzuri mzuri hivi anachimbua yale 'madini' yapatikanayo ndani ya pua na kuyafinyanga finyanga kwa vidole vyake!! halafu wakitoka bila shaka ataenda kushikana mikono na wenzie...AARRGHH!:nono:

We umenifanya mwenzio nicheke mpaka machozi yananitoka kha!
 
12m and you cant even stay awake, :doh::A S angry:, its a shame tumia pesa zako kunywa kahawa, au red bull to keep yourself awake, au lala mapema, yaani, aaarrrghhh
 
Back
Top Bottom