Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,846
- 16,738
As usual tukisema kuna list kibao ya kulala bungeni some don't believe.
Juzi tu bunge limeanza huyu kaanza na kukoroma, one day mtu atatia aibu kwa kuota, au ku diffuse/pollute hewa bungeni, wait, mbunge must be active especially ndani ya jengo, then ukitoka kalale, take a look
At least huyu mzee hapa chini kaegemea ukuta asianguke anawakumbuka waliomchagua kwa SMS, ila alivyo disintegrate...mmmhhh, hiyo simu ilivyoshikwa aaalaaahh Mzee wa kiraracha vp? namombea msamaha kwa kuitwa CCM, bcoz of his health
Juzi tu bunge limeanza huyu kaanza na kukoroma, one day mtu atatia aibu kwa kuota, au ku diffuse/pollute hewa bungeni, wait, mbunge must be active especially ndani ya jengo, then ukitoka kalale, take a look
At least huyu mzee hapa chini kaegemea ukuta asianguke anawakumbuka waliomchagua kwa SMS, ila alivyo disintegrate...mmmhhh, hiyo simu ilivyoshikwa aaalaaahh Mzee wa kiraracha vp? namombea msamaha kwa kuitwa CCM, bcoz of his health