Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,940
Tende kilo 1 na nanasi zima na muda usio pungua dakika 15 Mara baada ya kumaliza kula ✍✍✍✍✍✍✍✍✍
Swali unakuwa mcharo kwa bao ngapi
Tende kilo 1 na nanasi zima na muda usio pungua dakika 15 Mara baada ya kumaliza kula
Swali unakuwa mcharo kwa bao ngapi
Ndio tende inakinaisha mno , atleast nanasi japo nashangaa km ni effective au la .
Inategemea na mwanamke ulie nae muda huoHapo ukianza saa 4 usiku bao la kwanza unalipata kwenye saa 6 la pili saa 10
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujisumbue hivo yanini wakati unapiga zako kitinguu kimoja tu mambo yanakua safi
Sasa sugar, kuwa mpole banaa....wee unataka uwe sukari pekeyako?
Acha na wenzio watoe zenye utamu utamu kama wewe, japo wako ni wa kuzaliwa nao wenzako wanaoupata kwa kula hayo mafomyula .......
Ila endelea kuhamaki, tende kilo moja watakuzidi utamu aiseeh.... Nanasi lenyewe ni sukari tosha ukiongeza na tende itakuwa kuna research wanafanya aahahahahahahahhaaaaa
Ila pia huwezi jua yaweza kuwa ni kinga ya mafua ya Corona aahahaahahahaa
Katika vitu huwa napenda kuwa tease wanaume ni kwenye nguvu za kiume. Sikuzote wanawake tunahadaika haraka sana kwenye kununua viatu vyakula nguo pochi vyombo hata kama tunavyo ndani na mfanyabiashara akachukua pesa yetu kirahisi tuu.
Ila ukitaka kula pesa ya wanaume wa leo kirahisi uje na kitu cha kula useme kinaongeza nguvu za kiume na ikisimama inalala baada ya masaa 4 aahahahahahahaa hata ambao hailali watataka wainunue kama kinga zisije pungua baadae aahahahahahahahaha
Haya muulize mleta mada unazila raw au uzisage smoothie nikusaidie kusaga aahahahahahahahahhahaaa
Kasinde Matata.
Mamaaaae, tende kilo 1 na nanasi nzima.??
Sawa. Unakula unavimbilwa, unalala...unastuka unagonga kimoja, unalala tena...ukikurupuka tu unakuta mtoto kajipiga dildo au kibomba na wewe unakua MakoStamina.
Melvine
Mamaaaae, tende kilo 1 na nanasi nzima.??
Sawa. Unakula unavimbilwa, unalala...unastuka unagonga kimoja, unalala tena...ukikurupuka tu unakuta mtoto kajipiga dildo au kibomba na wewe unakua MakoStamina.
Melvine
kula tangawizi dakika 5 kabla ya tendo, ule uchungu uchungu flani unasaidia kuchelewesha kumwaga
Tende kilo 1 na nanasi zima na muda usio pungua dakika 15 Mara baada ya kumaliza kula
Swali unakuwa mcharo kwa bao ngapi
Hayo yote n uduwanzi.....Fanya nusa tundu la choo kila asubuh show yake njoo uniadithie hapa
Huku hayo makitu hayasaidii mkuu, mafutu huku hayakanyagwi yanatumika kama kilainishi