Rostema
JF-Expert Member
- Nov 27, 2018
- 2,929
- 9,467
Madam wanguNjaa haina bondia ikikukamata inavyotaka utatafta chakula mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Madam wanguNjaa haina bondia ikikukamata inavyotaka utatafta chakula mwenyewe
Madam wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani acha tu.Njaa haina bondia ikikukamata inavyotaka utatafta chakula mwenyewe
Yaani acha tu.
Hapa nimeamka nna njiaa hatari nazurura kama kuku kutafuta iko wapi supu wanauza.mana habari ya kuanza kupika chai saivi huo muda bora nipoteze kusaka supu
Daaaah.mda tatixo mkuuKula mgahawani ni gharama sana....
Binafsi asubuhi 2k-3k
Mchana 4k-7k
Jioni huwa nanunua matunda ya 10k natumia week nzima.
Ila ukipika mwenyewe gharama upungua kama utanunua vitu kwa jumla ila tatzo ni moja tu MUDAAAAAA....
At the end kwa bachelor kula mgahawani siku za kazi weekend jaribu home.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchele ambao unapata kilo 10 alafu una vijidudu viduchu viduchu kama vinaruka ruka hivi.navitoa vipi vijududu hivi ili niendelee kutumia mchele wangu?Nimeamka mapema sana leo hubby alikua anatoka hivo nimeamka nikapika zangu chapati nankamchuzi kakutoelea chapati asubuh kwangu ilipita hivo
Mchele ambao unapata kilo 10 alafu una vijidudu viduchu viduchu kama vinaruka ruka hivi.navitoa vipi vijududu hivi ili niendelee kutumia mchele wangu?
Mhhh sku hizi mafunzo yamo mutandaoni atafte google atajifunza tu
Mkuu kusoma hujui ndo hata picha huoni mkuu?Tatizo lugha Madame, kuwa na huruma.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kupika gharama kubwaWakuu hili jambo karibia wengi tuliopitia ubachela na hatukuwa tunaishi na wazazi basi tumelipitia sana.
Kipi kinamaliza sana pesa ?